Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Bongo raha sana, hata kama wanatuita na tunajiita washamba ila mimi napenda sana maisha ya nyumbani, watu wanapanda mpaka jukwaani kumtunza mtu pesa utaipata wapi fursa hiyo zaidi ya kwetu tu... Asikwambie mtu USA pazuri ila burudani ipo Tanzania... Nakushukuru sana Mungu kwa kunipa utaifa wa Tanzania na kamwe sitoukana

    ReplyDelete
  2. Aha,Bibi Cheka Noma,Hongera saaaana

    ReplyDelete
  3. bibi cheka naona huko juu kama OBAMA!!

    ReplyDelete
  4. Utunzaji wa show-off huwa unawanyima raha wengine wanaoangalia. Watunzaji hupanda pale kitendo kinapololea watu hupenda kuona atafanya nini wakati huo. mimi naona wangekuwa wanaweka chini tuu hizo pesa ili kutompotezea step performer na kuwanyima uhondo wengine. Mimi.

    ReplyDelete
  5. Ndugu yake BiKidude huyo lakini yeye ni wa kisasa zaidi.

    Mbona wanaume wengi ndiyo wanamtunza huo Bibi Cheka?

    ReplyDelete
  6. Huyu bibi anaimba vizuri sana, yaani kajitafutia ajira yake poa sana hongera sana wimbo mzuri na mdundo poa sana inabidi watu wawe creative kama bibi cheka

    ReplyDelete
  7. Waahuu!Nilikuwa namsikia sasa leo nimemuona live,,EEe Bi Kidude wa Bara!Kweli huyu Bibi mkali sana!Ana mistari ya hali ya juu!Na sauti yake sio ya kubahatisha,,siku zote ulikuwa wapi Bibi?Ee Kweli Nyumbani ni raha tupuuuuu!

    Ahlam,,,UK

    ReplyDelete
  8. Hivi kweli hamna sigara kubwa hapa?

    ReplyDelete
  9. Hizi ndio zile nafasi za Ajira zilizofichika ambazo inakuwa ni vigumu watu kujitambua kuwa tunazo.

    1-Ajira sio mpaka uvae Koti na Tai na kuajiriwa Benki !

    2-Uendeshaji wa mambo kiufanisi, ndio unategemea Elimu na Taaluma lakini sio vigezo sana uwezo wa Kielimu/Taaluma kuwa ndio uwezo wa kiuendeshaji.

    Jana Jumapili Mchana nilisikia kipindi fulani kikijadili Makala kuhusu suala la Ajira kwa vijana na nilifurahi sana walipokuwa wanatathimini kuwa mtu akiwa na Kiwango cha juu cha Elimu anaweza kushindwa kuitumia Elimu yake na matokeo yake asiye na Elimu wala Taaluma akafanya mambo kiufanisi zaidi!

    ReplyDelete
  10. Bi Cheka hana Mpinzani!

    Anaweza akawamwaga hawa Mademu waosha miguu na wachambua kucha wa Kisasa hadi kwenye Jukwaa lao la U-Miss anaweza akawagalagaza vibaya tu !

    Unakuta Demu hata kuosha miguu yake anafanyiwa na mtu mwingine wa kumlipa?,,,anatengenezwa kucha kwa kulipia?

    Mademu wavivu sana na wanataka mafanikio ya rahisi,haraka,hawataki tabu na wanapenda maisha ya juu bila kufanya kazi, angalieni Mtu Mzima bibie anajituma Kimuziki na sasa ameshatoka !

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...