Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (kushoto) na Mbunge wa Viti Maalum, Leticia Nyerere kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimina na Mbunge wa Dole, Sylvester Mabumba kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Mbinga Mashariki Gaudence Kayombo, kwenye jengo la utawala la Bunge Mjini Dodoma leo.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wawekezaji katika sekta ya madini mkoani Mara kutoka kampuni ya Gemini Corporation ya Urusi baada ya kuzungumza nao, Ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma leo. Kushoto ni Mwenyeji wao , Mbunge wa Viti Maalum Zainab Kawawa.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wawekezaji katika sekta ya madini mkoani Mara kutoka kampuni ya Gemini Corporation ya Urusi baada ya kuzungumza nao, Ofisini kwake Bungeni Mjini Dodoma leo. Kushoto ni Mwenyeji wao , Mbunge wa Viti Maalum Zainab Kawawa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
hiyo ya picha ya kwanza, nadhani ni ya uchokozi
ReplyDeleteteh teh teh teh teh
mtoto wa mkulima nae wamo lol
Mwendo ni kila mtoto wa kiongozi ni kuchukua chako bado mapema. Wenyeji huu mhh
ReplyDeleteWe Leticia, vua miwani bwana ukiwa na watu wa heshima! Hiyo ni miwani ya jua tu na haipendezi kuendelea kuwa nayo unapokuwa na wakubwa, isitoshe PM! Hata hao mnaowaiga huwa wanavua wakiwa wapo na watu wengine. Acheni ushamba jamani, na muwe na nidhani kwa wakubwa!
ReplyDeletePicha ya juu kabisa imetulia....Tehe!!
ReplyDeleteLiwalo na liwe!!!
ReplyDelete