Mambo vipi wadau?Salama?
Ni hivi,mwezi ujao wote Soggy Doggy, Bwana Misosi na D.Knob tunafanya Bonge la Hip-hop tour Kanda ya ziwa,Ruvuma na Arusha - Au vipi Bwana - lengo kubwa likiwa ni kutoa burudani kwa mashabiki wetu ambao huwa wanatuona mara chache sana kwani tunabanwa na majukumu mengine - Au vipi Bwana -katika ziara hizi tunaambatana na madansa wetu na tumedhaminiwa na PRO-24
Soggy Doggy
Bwana Misosi
D.Knob

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 22, 2012

    Vijana siyo mnajipachika majina tu bila kutafiti maana yake.
    KNOB;
    1, A circular rounded projection or protuberance.
    2, (slang/urban) A stupid person,penis, an obnoxious person.
    - What a knob!
    -Knob head.
    etc.
    Change your name to a meaningful one. Don`t be a KNOB.
    Dr Gangwe Bitozi.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 23, 2012

    ...Hahahaha Dr.Gangwe Bitozi umenivunja mbavu zangu!

    Labda Msanii ana maana yeye ni 'mtambo' kweli kweli kama hicho unachoelezea kitu chenyewe !

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...