Michael Kapinga akionyesha umahiri wa kuonyeshakipaji cha kuimba wimbo wa I tried ulioimbwa na Akon na Bone Thugz, wakati wa hafla ya kujipongeza kwa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Dar es Salaam Independent iliyo jijini Dar es Salaam,kwa kuhitimu kidato cha Nne na cha Sita ,Hafla hiyo iliandaliwa na Saida Kapinga wa Elements Events.
Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Dar es Salaam Independent iliyo jijini Dar es Salaam,Owen Karonga na Carine Maro ambao waliibuka washindi kwaa kuwanadhifu katika hafla ya kujipongeza kwa kumaliza elimu
ya kidaoto cha Nne na cha sita iliyofanyika katika Ukumbi wa Little Theatre Oysterbay. Kushoto ni Mkurugenzi wa Elements Events Saida Kapinga ambaye ndiye aliyeandaa hafla hiyo.kushoto ni Mwalimu wa Wanafunzi hao.
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari ya Dar es Salaam Independent ya jijini Dar es Salaam, wakionyesha vipaji vyao vya kusakata muziki wakati wa hafla ya kujipongeza kwa kumaliza elimu ya kidaoto cha Nne na Sita
Wanafunzi wa Shule ya sekondari ya Dar es Salaam Independent ya jijini Dar es Salaam,carine Maro ambaye aliipuka Mshindi wa kuvaa vizuri kwa upande wa wasichana na Owen Maronga ambaye pia aliibuka mshindi kwa upande wa wanaume wakionyesha vipaji vyao vya kusakata muziki wakati wa hafla ya kujipongeza kwa kumaliza elimu ya Kidato cha Nne na Cha sita
Michael Kapinga akihojiwa na Mon Rack (kulia) baada ya kuonyesha kipaji cha hali ya juu cha kuimba,wakati wa hafla hiyo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...