Banda la NSSF
Ofisa Mipango Mkuu wa NSSF, Gerald Peter Sondo akifafanua jambo wakati Mwenyekiti wa CUF Prof. Ibrahim Lipumba alipotembelea banda la NSSF
Ofisa wa NSSF, Sakina Mbullo akitoa kwa wananchi waliotembelea banda la NSSF
Ofisa wa NSSF, Aisha Marine akitoa ufafanuzi kuhusu Mafao ya Matibabu kwa Wanachama wa NSSF.
Banda kweli limeng'aa ila ofisi zao jamani ni chafu halafu vyoo vinanuka mpaka aibu. nenda ofisi zao ubungo, kila siku choo kina harufu mpaka unasikia kutapika. hapo unapita kwa nje tu sijui ukiingia ndani pakoje. Msioshe uso tu na makwapa pia!
ReplyDelete