No turns allowed at the intersection.
hapo ni No turns inatakiwa kuendelea moja kwa moja. Kwa mameno mengine huwezi kata kulia au kushoto. a
Neither left nor right turn is allowed. Keep the f*@#%k straight.
confuse.com
Tuachane na hayo mabango Je hizo Tax hapo ndio sehemu yake ya kuegeshea magari au? Kama ndio basi Serikali ijitahidi kuwawekea maeneo yao tu na vibali na pia sio kujenga migorofa tu tukumbuke na sehemu za kuegeshea magari basi.
Hapo wangu kibao tu kimegeuka lkn maana ilikuwa uende moja kwa moja usikate kulia wala kushoto
Chezea Bangi wewe? Ah! Bange mbaya kaka we acha tu!
Kuna shida fulani katika vibao vingi vya alama za barabarani hasa katikati ya Jiji. Mfano mwingine ni pale Makutano ya Br. ya Biti Titi Mohamed na Nkrumah. Kuna kibao chenye alama ya 'Hakuna Njia' (Kinazuia magari yasiingie Nkrumah kutoka Mnazi Mmoja na Kamata) lakini magari yanapita hapo kila siku kuja Br. ya Samora. Hali kadhalika, makutano ya Br. za Ohio na Garden (PPF Tower/ATC) pana kibao cha alama inayosomeka 'Usipinde Kushoto' yaani kutoka Br. Ohio kwenda Br. Garden/Imalaseko, lakini kibao hicho kimefutwafutwa. Naomba Ankal waulize Tanroads ama Jiji kwamba kwa nini vibao hivyo vinavyotuchanganya bado vipo hapo vilipo?
"Uchimeze,Usimumunye wala Uchiteme"
Hizo inatukumbusha hadithi za zamani kuhusu walinzi wa kimakonde ambao wakikukamata wanakuambi! Ukisimama nchale, ukikimbia nchale, ukikaa nchale! ukichuchumaa nchale!!!!!
Maana Yake nenda moja kwa moja usikate kushoto wala kulia
Iko poa..alama zinamaanisha hakuna kukata kona kwenda shoto wala kulia. Maana ukitaka kula kona unasababisha msururu nyuma na flow of traffic hamna.
nadhani walitaka kufanya mabadiliko fulani lakini yalikuwa hayajapitishwa ndiyo maana walikuwa wamelifunika bango moja wapo hivyo hapo maana yake usimeze wala usiteme tehetehetehe
hii inaaonyesha ubadirifu wa hali ya juu wa mali ya umma na pessa za walipa kodi,kwa maana ilikuwa hakuna haja ya kutumia mabomba mawili wala mabati ya alama mawili kwani nina uhakika ipo alama moja ambayo ingetosheleza kuwekwa hapo na kutoa maana halisi ya kilichokusudia (kwenye muongozo wa alama za barabarani)
one way only,TBS wanafanya nini au ubora wa dawa tu?mdau wa kimbiji
Basically hii nchi ni kichwa cha mwendawazima!! Kuna mtu amepewa Kandarasi Katikati ya Jiji Ya kuweka Vibao Hivyo ila alikuwa Hana scope ya kazi aliyotakiwa kufanya Hivyo Mkanganyiko ni Mtindo Mmoja!!
moja inawahusu watembea kwa miguu!lol
Watoto walikua wanajifunza kuchora jamani
UZEMBE KASORO MKIA....!
kati ya jiji la Dar, eneo la kisutu na posta yamejaa kibao. mbali na aliyoyasem anonimous mmoja hapo juu, pia yapo eneo la ocean road kuelekea kivukoni, kisutu, nk
Simpo, usikate kulia wala kushoto.
Ni yale yale ya kutokuwa makini na tunalolifanya. Pia kutoshirikisha wengine kutoa maoni. Unajua kichwa kimoja hakikwezi kuona kila kitu hasa pale unapotaka watu wengi wakuelewe wakati unapotumia ishara na vielelezo. Vyote vinatakiwa vieleweke dhahiri kwa kutoa likusudiwalo kwa yeyote yule anaviangalia.
Post a Comment
No turns allowed at the intersection.
hapo ni No turns inatakiwa kuendelea moja kwa moja. Kwa mameno mengine huwezi kata kulia au kushoto. a
Neither left nor right turn is allowed. Keep the f*@#%k straight.
confuse.com
Tuachane na hayo mabango Je hizo Tax hapo ndio sehemu yake ya kuegeshea magari au? Kama ndio basi Serikali ijitahidi kuwawekea maeneo yao tu na vibali na pia sio kujenga migorofa tu tukumbuke na sehemu za kuegeshea magari basi.
Hapo wangu kibao tu kimegeuka lkn maana ilikuwa uende moja kwa moja usikate kulia wala kushoto
Chezea Bangi wewe? Ah! Bange mbaya kaka we acha tu!
Kuna shida fulani katika vibao vingi vya alama za barabarani hasa katikati ya Jiji. Mfano mwingine ni pale Makutano ya Br. ya Biti Titi Mohamed na Nkrumah. Kuna kibao chenye alama ya 'Hakuna Njia' (Kinazuia magari yasiingie Nkrumah kutoka Mnazi Mmoja na Kamata) lakini magari yanapita hapo kila siku kuja Br. ya Samora. Hali kadhalika, makutano ya Br. za Ohio na Garden (PPF Tower/ATC) pana kibao cha alama inayosomeka 'Usipinde Kushoto' yaani kutoka Br. Ohio kwenda Br. Garden/Imalaseko, lakini kibao hicho kimefutwafutwa. Naomba Ankal waulize Tanroads ama Jiji kwamba kwa nini vibao hivyo vinavyotuchanganya bado vipo hapo vilipo?
"Uchimeze,Usimumunye wala Uchiteme"
Hizo inatukumbusha hadithi za zamani kuhusu walinzi wa kimakonde ambao wakikukamata wanakuambi! Ukisimama nchale, ukikimbia nchale, ukikaa nchale! ukichuchumaa nchale!!!!!
Maana Yake nenda moja kwa moja usikate kushoto wala kulia
Iko poa..alama zinamaanisha hakuna kukata kona kwenda shoto wala kulia. Maana ukitaka kula kona unasababisha msururu nyuma na flow of traffic hamna.
nadhani walitaka kufanya mabadiliko fulani lakini yalikuwa hayajapitishwa ndiyo maana walikuwa wamelifunika bango moja wapo
hivyo hapo maana yake usimeze wala usiteme tehetehetehe
hii inaaonyesha ubadirifu wa hali ya juu wa mali ya umma na pessa za walipa kodi,kwa maana ilikuwa hakuna haja ya kutumia mabomba mawili wala mabati ya alama mawili kwani nina uhakika ipo alama moja ambayo ingetosheleza kuwekwa hapo na kutoa maana halisi ya kilichokusudia (kwenye muongozo wa alama za barabarani)
one way only,TBS wanafanya nini au ubora wa dawa tu?
mdau wa kimbiji
Basically hii nchi ni kichwa cha mwendawazima!! Kuna mtu amepewa Kandarasi Katikati ya Jiji Ya kuweka Vibao Hivyo ila alikuwa Hana scope ya kazi aliyotakiwa kufanya Hivyo Mkanganyiko ni Mtindo Mmoja!!
moja inawahusu watembea kwa miguu!lol
Watoto walikua wanajifunza kuchora jamani
UZEMBE KASORO MKIA....!
kati ya jiji la Dar, eneo la kisutu na posta yamejaa kibao. mbali na aliyoyasem anonimous mmoja hapo juu, pia yapo eneo la ocean road kuelekea kivukoni, kisutu, nk
Simpo, usikate kulia wala kushoto.
Ni yale yale ya kutokuwa makini na tunalolifanya. Pia kutoshirikisha wengine kutoa maoni. Unajua kichwa kimoja hakikwezi kuona kila kitu hasa pale unapotaka watu wengi wakuelewe wakati unapotumia ishara na vielelezo. Vyote vinatakiwa vieleweke dhahiri kwa kutoa likusudiwalo kwa yeyote yule anaviangalia.