Walimbwende wanaowania taji la Redd's Miss Higher Learning wakiwa kwenye kambi yao ambapo fainali yao itakayofanyika kesho kwenye ukumbi wa New Maisha Club Jijini Dar Es Salaam na mshindi anatarajiwa kuondoka na kitita cha shilingi milioni mbili za kitanzania (Picha kwa hisani ya Intellectuals Communications Ltd)
Home
Unlabelled
Redd's Miss Higher Learning kujulikana kesho Maisha Klabu jijini Dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...