Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Hispania wakishangilia ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Ulaya walioupata muda mfupi uliopita kwa kutandika bao 4-0 timu ya Taifa ya Italy.
Torres akiipachikia timu yake ya Spain bao tatu dhidi ya Italy katika fainali iliyomalizika muda mfupi uliopita,ambayo imeipatia ubingwa kwa mara nyingine timu ya Taifa ya Hispania kwa ushindi mnono wa mabao 4-0.
Torres akiipachikia timu yake ya Spain bao tatu dhidi ya Italy katika fainali iliyomalizika muda mfupi uliopita,ambayo imeipatia ubingwa kwa mara nyingine timu ya Taifa ya Hispania kwa ushindi mnono wa mabao 4-0.
David Silva na goli la kuongoza.
Ni furaha tupu kwa Upande wa Hispania.
Balloteli leo hata hakufua dafu.
Kocha wa Italy kazini.
Mtu mzima anaposhindwa kuwa dawa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...