Wateja wa benki ya CRDB wakipata huduma za kutoa pesa katika gari kutoa huduma za kibenki la 'Mobile Branch' lililopo katika Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya 36 katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wateja waliofika katika banda la Maonyesho la CRDB wakipata huduma za kibenki.
Mobile Branch.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...