Ankal salaam. Twaishukuru NSSF kutujengea moja ya vikwangua anga vingi vilivyopangwa kujengwa  hapa Ilala, ambacho hadi sasa zimeshafikia ghorofa zaidi ya 23 na ujenzi unaendelea...
Ni wazi kuwa muda si mrefu tutaona "skyline" ya Ilala ikianza kubadilika kabisa kwani wapo wawekezaji waliokuwa wanasubiri tu kuona nani anaanza kujenga majengo makubwa makubwa Ilala ili nao wawekeze fedha zao katika sekta hii inayobadilisha kabisa sura ya jiji la Dar na viunga vyake. Heko NSSF.
Mdau Ilala Boma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...