Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya ulinzi ya Ultimate security,Jacqui Bothma na Meneja wa huduma kwa wateja wa kampuni hiyo Pambwe Maulid wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa magari mapya 12 na pikipiki 14 zitakazotumika kwaajili ya kutoa huduma mbalimbali katika jamii.
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya ulinzi ya Ultimate security,Jacqui Bothma(kushoto)akimsikiliza Meneja wa huduma kwa wateja wa kampuni hiyo Pambwe Maulid,(hawapo pichani)akiongea na waandishi wa habari kuhusiana na uzinduzi wa magari mapya 12 ya kampuni hiyo na pikipiki 14 zitakazotumika kwaajili ya kutoa huduma mbalimbali katika jamii.
Baadhi ya walinzi wa kampuni ya Ultimate Security ya jijini Dar es Salaam wakiwa kwenye pikipiki mpya zilizonunuliwa na kampuni hiyo kwaajili ya matumatumizi ya huduma za ulinzi katika jamii,wakati wa uzinduzi wa magari mapya 12 ya kampuni hiyo na pikipiki 14.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Ultimate Security ya jijini Dar es Salaam wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya uzinduzi rasmi wa magari mapya na pikipiki zilizonunuliwa na kampuni hiyo kwaajili ya matumitumizi ya huduma za ulinzi katika jamii.
Msafara wa magari mapya 12 ya kampuni ya Ultimate Security ya jijini Dar es Salaam,yakiongozwa na mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo katika barabara ya Alhassan Mwinyi,tayari kwaajili ya matumatumizi ya huduma za ulinzi katika jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...