Meneja
Mkuu msaidizi wa Biolands(Kulia) akimkabidhi na kupongezana na Mkuu wa
Wilaya ya Kyela Mh. Magreth Ester Malenga ufunguo wa Gari la Wagonjwa
katika Sherehe zilizofanyika kwenye viwanja vya Halmashauri ya Wilaya
Kyela.
Mkuu
wa Wilaya ya Kyela Mh. Magreth Malenga akikata utepe kuashiria uzinduzi
wa Gari la Wagonjwa walilokabidhiwa na kampuni ya Biolands , akisaidiwa
na Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Dkt. Seif Mhina
Mkuu wa Wilaya ya Kyela Mh. Magreth Ester Malenga akifungua Mlango wa Gari la Wagonjwa Kuashiria Uzinduzi.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...