Ndugu Timothy Kulewa wa Manchester Uingereza, anasikitika kutangaza kifo cha Mke wake Maryam Nassoro Jaffuru kilichotokea juzi 26/08/2014 kwa Ajali ya gari Morogoro akitoken safarini mwanza. Mazishi yanafanyika kesho Ijumaa 29/08/2014 saa Tisa alasiri katika Makaburi ya Kinondoni, Dar es Salaam, Baada ya Misa itakayofanyika Kanisa la kilutheri Mbezi Beach ( Tangi Bovu) saa Saba mchana.
Bwana ametoa Bwana ametwaa Jina lake lihidimiwe.
RIP.....YAANI KTK DUNIA NZIMA AJARI ZA BARABARANI ZENYE KUONDOA UHAI NI TANZANIA PEKEE SIJUI KWANINI...INAUMA SANA KUSIKIA WATU WANATEKETEA WATU WAMESHINDWA KAZI....
ReplyDeletePOle sana Timothy Mungu akupe faraja katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wako.
ReplyDeleteRIP Mariam
ReplyDeletePoleni sana wafiwa. Mimj nawaobea mpate nguvu na baraka. Mwanga wa milele uwamulikieni wakati huu mgumu.
ReplyDeleteHizi ajali zimekuwa nyingi sana jamani. Serikali ina mpango gani kupunguza ???????
ReplyDeleteNdugu yetu Maryam, umeondoka na sisi tuko njiani. Mungu akulaze pahala panapokustahikia. Ameen.
ReplyDelete