Afisa lishe wa Wilaya ya Njombe akitoa mada kwenye semina ya maafisa watendajji wa kata na viongozi wa vijiji wakati wa semina kuhusu kuongeza virutubishi kwenye vyakula iliyofanyika wilayani humo katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Njombe leo.Kampeni za matumizi ya vyakula vyenye virutubishi zinaendelea katika wilaya mbalimbali nchini.
 Wanakijiji cha Ngalanga wilayani Njombe wakisikiliza mtaalamu wa lishe wa wilaya Bi Bertha Nyigu wakati wa semina juu ya matumizi ya vyakula vilivyoongezewa virutubishi iliyofanyika katika viwanja vya halmashauri ya wilaya ya Njombe.Kampeni za matumizi ya vyakula vyenye virutubishi zinaendelea katika wilaya mbalimbali chini ya usimamizi wa Wizara ya Afya na Ustawi wa jamii na wadau wengine wa masuala ya afya.
Mtaalamu wa masuala ya lishe wa wilaya ya Njombe,Bi Bertha Nyigu, akijibu maswali ya wanavijiji mbalimbali waliofika kupata elimu ya masuala ya lishe na uongozeji virutubishi kwenye chakula.Kampeni za lishe bora na virutubishi zinaendelea kufanyika katika wilaya mbalimbali hapa nchini chini ya usimamizi wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...