Mwanafunzi wa Chuo kikuu huria cha Tanzania Bw. Mussa Omari (katikati)
akiongea na waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu tamko la kulaani
kauli za mwenyekiti wa chadema taifa za kuhamasisha uasi kwa njia ya
maandamano, wakati wa mkutano uliofanyika leo Jijini Dar es Salaam.
Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Bw. Gulatone
Masiga akitoa wito kwa wananchi kuudumisha muungano wetu na kuacha
kupelekwa na wanasiasa wasio na misingi ya kidemokrasia.Kulia ni
Mwanafunzi wa Chuo kikuu huria cha Tanzania Bw. Mussa Omari.
Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Theodora Malata
akiwaeleza jambo waandishi wa habari leo wakati wa Mkutano uliofanyika
jijini Dar es Salaam.
Hivi mbona hakuna utaratibu wa kidemokrasia wa kuvunja muungano ikiwa tuna hiari?
ReplyDeleteMaana hatuna uhuru wa hiari wa kuvunja.
iga mfano mzuri wa UK na Scotland.
hata kuungana ilikuwa demokrasia.