Waziri wa Nchi(Kazi Maalum) Ofisi ya Rais Profesa Mark Mwandosya,Rev Dr Thadeus Mkwama,Makamu Mkuu wa SAUT,na Mwadhama Baba Askofu Desderius Rwoma,Mkuu wa Chuo,wakiwa kwenye maandamano ya ya taaluma, ya Maprofesa. 
 Maandamano yakiendelea
 Profesa Mwandosya,Rev Dr Thadeus Mkwama,Makamu Mkuu wa SAUT,na Mwadhama Baba Askofu Desderius Rwoma,Mkuu wa Chuo,wakiwa kwenye maandamano ya ya taaluma, ya Maprofesa. 
 Waziri Mwandosya akisalimiana na wakufunzi wa SAUT.
 Picha ya pamoja ya Prof. Mwandosya na wahadhiri wa SAUT baada ya mahafali.
 Waziri Mwandosya akitoa mhadhara kwenye mahafali hayo
 Mgeni Rasmi katika Mahafali,Profesa Mark Mwandosya,Waziri wa Nchi(Kazi Maalum) Ofisi ya Rais, akipokea shukrani za Chuo Kutoka kwa Makamu Mkuu wa Chuo Rev.Dr Thadeus Mkamwa.Anayeangalia kushoto ni Baba Askofu Desderius Rwoma, Mkuu wa Chuo Kikuu hicho
 Mgeni Rasmi Prof. Mark Mwandosya akiwa na Uongozi wa Chuo na Uongozi wa Mkoa.Kutoka Kushoto kushoto ni Prof. Cathian Magori,Mkuu wa Chuo Kikuu cha Saut tawi la Ifakara,Dr Dominic Negussie,Naibu Makamu wa Mkuu wa Chuo,Mhandisi Evarist Ndikilo,Mkuu wa Mkoa, Rev.Dr Thadeus Mkamwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu,Saimon Filbert Rais wa Serkali ya Wanafunzi SAUT.Waziri Mwandosya,Mhe Baraka Konisaga,Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana,Baba Askofu Rwoma,Mama Lucy Mwandosya,na Marygoreth Gervas,Makamu wa Rais Serikali ya Wanafunzi SAUT
Waziri Mwandosya na Mkuu wa Mkoa Eng.Ndikilo (wa pili kulia) wakiwa na uongozi wa serikali ya wanafunzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...