Naibu Waziri wa Elimu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Kassim Majaliwa (katikati) pamoja ya Wakuu wa Shule za Sekondari za Serikali na Binafsi- walioshiriki mafunzo ya kuwajengea uwezo yanayoratibiwa na Wakala wa Maendeleo ya Uongozi na Usimamizi wa Elimu nchini ‘ADEM’ wilayani Bagamoyo, jana.
Wakuu wa shule wakifuatilia nasaha za -Naibu Waziri wa Elimu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Kassim Majaliwa, wakati akifunga mafunzo ya uongozi na usimamizi wa shule wilayani Bagamoyo jana.
Naibu Waziri wa Elimu, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Kassim Majaliwa, akizungumza na wakuu wa shule za sekondari za Serikali na Binafsi- kitaifa wilayani Bagamoyo, walioshiriki mafunzo ya kuwajengea uwezo yanayoratibiwa na Wakala wa Maendeleo ya Uongozi na Usimamizi wa Elimu nchini ‘ADEM’ kushoto kwake ni Mtendaji Mkuu wa ADEM, Dk. Siston Masanja Mgullah.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...