Machezaji wa vishale(Darts) wa klabu ya Friedz ya Tiptop Manzese jijini
Dar es Salaam wakiwa wameshika kikombe mara baada ya kuibuka
mabingwa katika fainali za mashindano ya mchezo huo yaliyofanyika
mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.Friendz walizawadiwa Kikombe
na Pesa taslimu Shilingi 100,000/=.
Bingwa wa mchezaji mmoja mmoja (Singles) wa mchezo wa
Vishale(Darts), Erry Boates kutoka klabu ya Lugalo akishangilia na
kikombe mara baada ya kuibuka bingwa katika mashindano ya kitaifa
yaliyofanyika Tiptop Manzese jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...