Inspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Jumbe Mangu akitoa heshma za mwisho kwa miili ya askari wawili waliouawa na watu wasiojulikana huko vikindu wilaya ya mkuranga, mkoani Pwani hivi karibuni. Shughuli za kuiaga miili hiyo zilifanyika jana katika maeneo hospitali ya barabara ya kilwa jijini Dar es Salaam . Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi.
nspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Jumbe Mangu akitoa heshma za mwisho kwa miili ya askari waliouawa na watu wasiojulikana huko vikindu wilaya ya mkuranga, mkoani Pwani hivi karibuni. Shughuli za kuiaga miili hiyo zilifanyika jana katika maeneo hospitali ya barabara ya kilwa jijini Dar es Salaam.
Michuzi kwa nini unapenda kurejea maelezo hayo hayo ktk picha tofauti? wakati wenzio tunasubiri kupata maelezo ya kna juu tukio husika!
ReplyDeleteMola awalaze pema peponi askari wetu na azipe familia zao subra katika kipindi hiki kigumu.
ReplyDeleteR.I.P Askari wetu..... Hawa majambazi wanatakiwa kusakwa na kufikiwa mhakamani
ReplyDeletePoleni wafiwa kwa kuondokewa na ndugu zenu, Mungu awasaidie wakati huu.
ReplyDelete