Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Servicus B.Likwelile
ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali na Makamu
wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. Aly Abou- Sabaa wakisaini
mkataba wa Tsh 137.5 Billion kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo kwa serikali
ya Tanzania. Sherehe hiyo ilifanyika hapa Mjini Abidjan- Ivory coast.
Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw.Aly Abou – Sabaa
na Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara
ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servicius Likwelile wakipongezana mara
baada ya kusaini mkataba wa Tshs 137.5 Billoni wa kusaidia kwenye sekta ya umeme
na nishati nchini Tanzania.
Makamu wa Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Bw. Aly Abou-Sabaa
na Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara
ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servicius Likwelile pamoja na wajumbe
waliohudhuria katika hafla ya kutia saini mkataba wq kiasi cha Tsh. 137.5 Billion kwa
ajili ya kusaidia miradi mbalimbali ya maendeleo hasa umeme nchini Tanzania.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...