Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue akisaini kitabu cha wageni katika banda la Wizara ya Fedha alipotembelea katika banda hilo katika maonesho ya 39 yanayofyanyika katika Viwanja Vya Mwalimu Nyerere (Sabasaba) leo jijini Dar es Salaam,Kushoto ni Msemaji Mkuu wa Wizara ya Fedha,Ingiahedi Mduma.

Katibu Mkuu wa Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue  akisalimiana Afisa Habari wa Shirika la Taifa la  Bima( NIC),Mwanaidi Shemheta alipotembelea banda hilo katika maonesho ya 39 katika Viwanja vya Mwalim Nyerere (Sabasaba) leo Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi akisaini Kitabu cha wageni katika banda la Shirika la Taifa la Bima (NIC) alipotembelea Maonesho ya 39 yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere (Saba saba) leo jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue akipata maelekezo katika Mfuko wa Pensheni wa PSPF alipotembelea maonesho ya 39 yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere (Saba saba) jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue akipata maelezo kutoka Afisa Masoko Mwandamizi wa GEPF,Violeth Nyakunga  alipotembelea maonesho ya 39 yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere Jijini Dar esalaam leo. 
Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue akipata maelekezo kutoka kwa Afisa Mwandamizi wa ajira ,Masoko na Utafiti  wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA)Julius Mjelwa  alipotembelea katika maonesho ya 39 yanayofanyika katika viwanja vya Mwalim Nyerere jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Kiongozi,Balozi Ombeni Sefue akipata maelekezo kutoka kwa  Mwalimu wa Umeme   wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi (VETA),Majollo Mwigowe, alipotembelea katika maonesho ya 39 yanayofanyika katika viwanja vya Mwalim Nyerere jijini Dar es Salaam. (picha zote na Chalila Kibuda wa Globu ya Jami).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...