Waziri Mkuu, Mizengo Pinda,akipata maelekezo ya asali alipotembelea banda
la asali katika maonesho ya 39 yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu
Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Wajasiriamali wa bidhaa ya asali ndani ya maonesho ya 39 yanayofanyika katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...