Unene na uzito uliozidi ( Obesity ) ni miongoni mwa vyanzo na visababishi vikuu vya tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali za kitabibu, asilimia kubwa ya wanaume wenye unene na uzito uliozidi, wanakabiliwa na tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume.
KWANINI WANAU
ME WENYE UNENE NA UZITO ULIOZIDI WANAKABILIWA NA HATARI KUBWA YA KUPATWA NA TATIZO LA UKOSEFU NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.
Wanaume wenye uzito na unene uliozidi wapo katika hatari kuu ya kupatwa na tatizo la ukosefu na upungufu wa nguvu za kiume kwa sababu kuna uhusiano mkubwa kati ya unene/uzito uliozidi pamoja na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...