Kiongozi
Mkuu wa Chama cha ATC Wazalendo Zitto Kabwe akiongea na Viongozi wa
Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo katika Mkutano
Mkuu wa Jimbo la Urambo. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Wanachama wakimsikiliza kiongozi wao Mkuu.
Wanachama wakimsikiliza Kionozi wao Mkuu kwa umakini mkubwa.
Katibu
Kata Urambo Kati, Mkulila Shabani akizungumza mbelea ya kiongozi Mkuu
wa chama na Viongozi wa Matawi ya jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya
ya Urambo
Mwenyeti
Kata ya Kiloleni Tarafa ya Usoke, Wilaya ya Urambo Kati, Juma Kamagi
akizungumza mbelea ya kiongozi Mkuu wa chama na Viongozi wa Matawi ya
jimbo la Urambo Mkoa wa Tabora wilaya ya Urambo.
Kiongozi
Mkuu wa Chama cha ATC Wazalendo Zitto Kabwe akiongea na Viongozi wa
Matawi ya jimbo hayo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...