Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk Mohamed Gharib Bilal akisaini kitabu cha wageni kwenye banda la maonesho la Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii nchini(SSRA)  baada ya kufungua kongamano la Mamlaka ya Ununuzi ya Umma(PPRA)jijini Arusha leo,kulia ni Afisa Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma, Bi. Sarah Kibonde.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk Mohamed Gharib Bilal (kushoto)akimsikiliza Afisa Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa Mamlaka hiyo  Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii nchini(SSRA)   ,Sarah Kibonde wakati akimweleza utendaji kazi wa Mamlaka hiyo  baada ya kufungua kongamano la Mamlaka ya Ununuzi ya Umma(PPRA)jijini Arusha .

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk Mohamed Gharib Bilal (kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa  Afisa Mawasiliano na Uhusiano kwa Umma wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii nchini(SSRA), Bi. Sarah Kibonde.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dk Mohamed Gharib Bilal (kushoto)akizungumza wa wafanyakazi wa UTT Asset Management and Investor Services PLC,  Afisa Mafunzo,Hilda Lyimo(katikati) na  Afisa Masoko na Mahusiano kwa Umma,Rahim Mwanga

Makamu wa Rais,Dk Mohamed Gharib Bilal akimsikiliza Mratibu wa Biashara Kanda ya Kaskazini wa Shirika la Simu nchini(TTCL)Thomas Lemunge(kulia)alipotembelea banda  kuona utendaji wa shirikan hilo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...