Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation Dkt. Reginald Mengi muda mfupi kabla ya kufungua na kuendesha mkutano wa nane wa Baraza la Taifa la Biashara Tanzania (TNBC) katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 2, 2015.
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na secretariate ya TNBC katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 2, 2015. Wengine toka kulia ni Katibu Mkuu Kiongozi wa Zanzibar Dkt Abdulhamid Yahaya Mzee, Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation Dkt. Reginald Mengi Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Karibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe Florens Turuka,
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na watumishi wa TNBC katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu jijini Dar es salaam leo Septemba 2, 2015. Wengine toka kulia ni Katibu Mkuu Kiongozi wa Zanzibar Dkt Abdulhamid Yahaya Mzee, Mwenyekiti wa Tanzania Private Sector Foundation Dkt. Reginald Mengi Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Karibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Mhe Florens Turuka, PICHA ZOTE NA IKULU
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
watanzania protokali ya kuvaa tai tunaijua kweli? Sehemu unaijua atakuwepo Rais wa Jamhuri wewe mwananchi unavaa tai nyekundu?
ReplyDeleteTupe link ya chapisho la mambo ya protokali ambapo kuvaa tai nyekundu mbele ya rais imekatanzwa. La sivyo uko kwenye njozi zako binafsi.
ReplyDelete