Mshereheshaji wa mkutano huo Prof. Venant Nantulya akiwa katika hatua ya uendeshaji wa mkutano wa Viongozi wa ngazi ya juu wa dini katika kupambana na kuweka mikakati ya
kuharakisha kumalizama ambukizi mapya ya VVU/UKIMWI.Picha na Geofrey Adroph
Mufti mkuu wa Zambia, Sheikh Assadullah Mwale akifungua kwa dua katika mkutano wa viongozi wa dini wa nchi za mashariki na kusini mwa Afrika uliofanyika leo jijini Dar.
Bi. Vanessa Anyoti kutoka YWCA Tanzania(kushoto) akizungumza kuhusiana masuala ya kijinsia pamoja na maendeleo ambayo yanaweza kupunguza maabukuzi ya virusi vya UKIMWI. Kulia ni
Maambukizi ya ukimwi yanaendelea, vijana wazee mjiepushe na maisha hatarishi, kuwepo kwa dawa za kurefusha maisha hakuepushi madhara ya ugonjwa huu. Wanaougua wanaongezeka.
ReplyDelete