Waziri mkuu Mh.Kassim Majaliwa afanya ziara ya kushitukiza badarini na kuamuru kufanya kukamatwa kwa kamishina wa kodi pamoja na viongozi wengine 5 kwa kuhusika na upotevu wa kontena 349 katika bandari ya Dar es salaam.https://youtu.be/BBJHMUSpfrM
Baada ya jeshi la polisi kuondoa vituo vyake vya ukaguzi katika barabara kuu ya Mtwara na Lindi baadhi wakazi wa maeneo hayo wahofia kuongezeka kwa matukio ya uhalifu https://youtu.be/sq7eJ_tAaV4
Wizara ya maliasili na utalii yakamata makontena 31 yakiwa na magogo yakitaka kusafirishwa nje ya nchi kinyume cha sheria. https://youtu.be/KkirUUgXTnM
Wanachama wa Chadema mkoani Mwanza wanatarajia kuuaga mwili wa marehemu Alphonce Mawazo siku ya kesho kabla ya kusafirishwa kwenda mkoani Geita;https://youtu.be/D2pnxqwSAs0
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi vigogo wa TRA na kumuagiza mkuu wa jeshi la polisi nchini kuwakamata; https://youtu.be/BoqMdgCGW40
Wafanyabiashara wa dagaa nchini wameiomba serikali kuweka mipango mathubuti ya kuhimarisha soko la ndani na nje ya Tanzania; https://youtu.be/qbRaqXYy1Nc
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi vigogo wa TRA na kumuagiza mkuu wa jeshi la polisi nchini kuwakamata; https://youtu.be/6T_KqRGSWrU
Fuatilia muendelezo wa kisa cha wachimbaji waliokaa chini ya ardhi kwa muda wa siku 41 wilayani Kahama mkoani Shinyanga; https://youtu.be/n4RfnFvIpvk
Mamlaka ya chakula na dawa nchini TFDA imekiri uwepo wa changamoto ya ukaguzi wa chakula na dawa bandia nchini; https://youtu.be/ls-JForBWHE
Baadhi ya vifaa vinavyohitajika katika zoezi la uwekaji nyasi bandia uwanja wa Kaitaba Bukoba vyaelezwa kuzuiliwa tena bandarini; https://youtu.be/nHY6EguwFzs
Mshambuliaji wa klabu ya Liverpool ya nchini Uingereza Daniel Sturridge anajiandaa kufanyiwa vipimo vya mguu kwa mara nyingine tena; https://youtu.be/KRcRSExqQnc
Wizara ya maliasili na utalii nchini imekamata kontena 31 zenye magogo katika bandari ya Dare s salaam; https://youtu.be/FS58dBQnTGE
Waziri mkuu Kassimu Majaliwa amewashauri walimu nchini kuchangamkia unununzi wa hisa za benki ya mwalimu; https://youtu.be/MaHhz_2Oe7A
Timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes imeitandika timu ya taifa ya Kenya kwa jumla ya goli 3 kwa 1 katika michuano ya kombe la Challenge inayoendelea nchini Ethiopia. https://youtu.be/Ord2EoWnq_8
Jaji mkuu wa Zanzibar amewataka wawekezaji kuwatumia wanasheria wa ukanda huu wa Afrika mashariki ili kutanua wigo wa ajira; https://youtu.be/xP0isn70ADc
Mamlaka ya maji safi na maji taka DAWASA imebomoa nyumba iliyokuwa ikizuia miundo mbinu ya maji katika eneo la salasala jijini Dar es Salaam;https://youtu.be/DkGQo81MNnk
Serikali imetoa mda wa siku saba kwa kampuni ya huduma za meli nchini kuhakikisha meli ya MV Butiama inaanza kazi mara moja; https://youtu.be/mqgIfxKMwVk
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...