Waziri mkuu Mh.Kassim Majaliwa afanya ziara ya kushitukiza badarini  na kuamuru kufanya kukamatwa kwa kamishina wa kodi pamoja na viongozi wengine 5 kwa kuhusika na upotevu wa kontena 349 katika bandari ya Dar es salaam.https://youtu.be/BBJHMUSpfrM
Baada ya jeshi la polisi kuondoa vituo vyake vya ukaguzi katika barabara kuu ya Mtwara na Lindi baadhi wakazi wa maeneo hayo wahofia kuongezeka kwa matukio ya uhalifu https://youtu.be/sq7eJ_tAaV4
Wizara ya maliasili na utalii yakamata makontena 31 yakiwa na magogo yakitaka kusafirishwa nje ya nchi kinyume cha sheria. https://youtu.be/KkirUUgXTnM
Wanachama wa Chadema mkoani Mwanza wanatarajia kuuaga mwili wa marehemu Alphonce Mawazo siku ya kesho kabla ya kusafirishwa kwenda mkoani Geita;https://youtu.be/D2pnxqwSAs0
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi vigogo wa TRA na kumuagiza mkuu wa jeshi la polisi nchini kuwakamata; https://youtu.be/BoqMdgCGW40
Wafanyabiashara wa dagaa nchini wameiomba serikali kuweka mipango mathubuti ya kuhimarisha soko la ndani na nje ya Tanzania; https://youtu.be/qbRaqXYy1Nc
Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi vigogo wa TRA na kumuagiza mkuu wa jeshi la polisi nchini kuwakamata; https://youtu.be/6T_KqRGSWrU
Fuatilia muendelezo wa kisa cha wachimbaji waliokaa chini ya ardhi kwa muda wa siku 41 wilayani Kahama mkoani Shinyanga; https://youtu.be/n4RfnFvIpvk
Mamlaka ya chakula na dawa nchini TFDA imekiri uwepo wa changamoto ya ukaguzi wa chakula na dawa bandia nchini; https://youtu.be/ls-JForBWHE
Baadhi ya vifaa vinavyohitajika katika zoezi la uwekaji nyasi bandia uwanja wa Kaitaba Bukoba vyaelezwa kuzuiliwa tena bandarini; https://youtu.be/nHY6EguwFzs
Mshambuliaji wa klabu ya Liverpool ya nchini Uingereza Daniel Sturridge anajiandaa kufanyiwa vipimo vya mguu kwa mara nyingine tena; https://youtu.be/KRcRSExqQnc
Wizara ya maliasili na utalii nchini imekamata kontena 31 zenye magogo katika bandari ya Dare s salaam; https://youtu.be/FS58dBQnTGE
Waziri mkuu Kassimu Majaliwa amewashauri walimu nchini kuchangamkia unununzi wa hisa za benki ya mwalimu; https://youtu.be/MaHhz_2Oe7A
Timu ya taifa ya Zanzibar, Zanzibar Heroes imeitandika timu ya taifa ya Kenya kwa jumla ya goli 3 kwa 1 katika michuano ya kombe la Challenge inayoendelea nchini Ethiopia. https://youtu.be/Ord2EoWnq_8
Jaji mkuu wa Zanzibar amewataka wawekezaji kuwatumia wanasheria wa ukanda huu wa Afrika mashariki ili kutanua wigo wa ajira; https://youtu.be/xP0isn70ADc
Mamlaka ya maji safi na maji taka DAWASA imebomoa nyumba iliyokuwa ikizuia miundo mbinu ya maji katika eneo la salasala jijini Dar es Salaam;https://youtu.be/DkGQo81MNnk
Serikali imetoa mda wa siku saba kwa kampuni ya huduma za meli nchini  kuhakikisha meli ya MV Butiama inaanza kazi mara moja; https://youtu.be/mqgIfxKMwVk

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...