Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Msemo Asilia wa-Watanzania
    Tunasema HONGERA BABA Tuko nyuma yako.

    ReplyDelete
  2. The mdudu , eee mungu we tuna kushukulu sana kwa kutupatia hawa viongozi wenye kujua nini waki fanyacho haki ya mungu watanzania wote wapenda maendeleo let us #tanzaniampyahiyoyaja

    ReplyDelete
  3. Majipu..tumbua..majipu tumbua..
    Mwenyezi Mungu uwasimamie na uwalinde Viongozi wetu wakuu

    ReplyDelete
  4. tafadhali michuzi mwambie majaliwa bado tunasumbuliwa na matrafiki barabarani , wawapangie kazi nyengine waache usumbufu kwa wenye vipando , wale sio usalama barabarani ila ni usumbufu barabarani

    ReplyDelete
  5. Hatuna la zaidi usipokua kumshukuru mungu, Kiluo chetu, Dua zetu kazipokea

    ReplyDelete
  6. Ilikua ni aibu sana kwa nchi yangu Tanzania kwa zaidi ya miaka ishirini kuwa na viongozi waliokua si waadilifu kabisa, walio shindwa kukemea rushwa ufisadi na ubadhilifu wa Mali za umma n.k, Leo mungu ametuletea viongozi walio wakweli na wenye kufanya kazi inavyopaswa. Mungu wabariki viongozi hawa, Mungu ibariki Tanzania

    ReplyDelete
  7. Habibu Mponenzya duuh hiyo kali na mali zake zichunguzwa huyu jamaa naamini hivyo alipata mali nyingi sana ambazo sidhani kama atakuwa na maelezo nazo.

    ReplyDelete
  8. TWILA KAMBANGWANovember 28, 2015

    Eheee mola ibarki safari ya mh pombe na viongozi wake, ibariki tanzania na watu wake!

    ReplyDelete
  9. NIKISOMA HABARI HIZI MACHOZI YANANITOKA TU ,MUNGU AWALINDE VIONGOZI WETU

    ReplyDelete
  10. Waende tu tumewachoka walikua wanakula keki ya taifa pekeyao

    ReplyDelete
  11. Mara nyingi mwenyezi Mungu humpa majaribu mwanadamu nasi tumepata majaribu kwa mmuda mrefu na naamini Mungu anatupa majibu baada kushinda majaribu kwani kwa aibu tuliopitia kwa Muda mrefu ingeweza kututoa kwenye msitari ila watanzania tumekuwa wavumilivu kiasi sasa Mungu anatuona siyo siri hata mimi nasikiliza huku machozi yananitoka.tumepata Nyerere wawili kwa sasa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...