Wadau wakubwa wa Globu ya Jamii wanaohudumu katika mgahawa maridadi wa Blue Rock Spur ndani ya Spur Steak Ranches iliyoko IT Plaza katikati ya jiji la Dar es salaam wnawatakia wadau wenzao wote wikiendi njema huku wakikubaribisha kupata steki za uhakika hasa katika msimu huu wa mahafali. Leo walikuwa na sherehe ya mahafali ya mtoto Sellah aliyehitimu Kindergarten School pale Shule ya St. Joseph ambapo walimwandalia keki na kumuimbia nyimbo za pongezi. Cheki video...
Home
Unlabelled
wadau wa spur steak ranches ya IT plaza Dar es salaam wanawatakia wikiendi njema
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...