Serikali yaweka lengo lenye nia ya kuhakikisha ifikapo mwaka 2020 , ailimia 50 ya watanzania wote wawe wamejiunga na mfuko wa afya wa hifadhi ya jamii.https://youtu.be/vLoKdCo_t7g

Hali ya baadhi ya miundombinu ya barabara katika jiji la Dar es salaam yaelezwa kuwa mbaya kutokana na kutofanyiwa ukarabati kwa muda kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha. https://youtu.be/cJQaN7mXNGc

Wizara ya fedha na mipango na mipango imeonya kuwachukulia hatua kali baadhi ya wananchi wakaothibitika na ukwepaji wa kodi.https://youtu.be/N8p2z4prYo0

Serikali yaagiza wakandarasi waliositisha ujenzi wa miundombinu nchini kuendelea na kazi zao baada ya kuwalipa sehemu ya deni.https://youtu.be/ErTNgmOJA6o

Baadhi ya wagonjwa katika hospitali ya Mji Mwema manispaa ya Songea mkoani Ruvuma waelezwa kujisaidia kwenye ndoo na madishi kutokana na kufurika kwa vyoo hospitalini hapo. https://youtu.be/4_aE74gDBFw

Wajumbe 2 katika tume ya uchaguzi Zanzibar ZEC kutoka chama cha wananchi CUF wapinga marejeo ya uchaguzi na kudai mwenyekiti wa tume hiyo amepoteza sifa kisheria na kikatiba kusimamia uchaguzi.https://youtu.be/LKlFASsChG0
  
Madiwani  wilayani Kaliua mkoani Tabora wamesema mwaka ujao wa fedha wataelekeza juhudi katika miradi michache inayoweza kukamilika kwa wakati;https://youtu.be/3dd7mSAkJuE

Serikali yatoa onyo kali kwa maafisa maendeleo ya jamii watakaoshindwa kupambana na vitendo vya ukeketaji katika jamii;https://youtu.be/ZT2Y2ml7bBc

Ng’ombe zaidi ya 110 wazuiwa wilayani Misenyi mara baada ya kubainika kuwa wanaugonjwa wa midomo na miguu pamoja na mapafu;https://youtu.be/OS0irQALY3o

Inaripotiwa kuwa ofisi ya bunge mkoani Dodoma yaanza ukarabati wa jengo la ukumbi wa bunge; https://youtu.be/PSQnaODfNw0
Serikali wilayani Nachingwea yaahidi kujenga ukuta katika shule ya sekondari ya wasichana Nachingwea ili kudhibiti vitendo vya kihalifu;https://youtu.be/MFYgFDKkLuc

Miili ya askari watatu wa jeshi la polisi waliopoteza maisha katika ajali ya gari  iliyotokea jana wilayani Ikungi mkoani Singida yaagwa;https://youtu.be/BBDbJ48J9XY

Timu ya Yanga yaitandika JKT Ruvu kwa jumla ya goli 4 kwa 0 katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara uliofanyika katika uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam; https://youtu.be/RAHjbv1yUNM

Shirikisho la soka nchini Sudani kusini latangaza kumuunga mkono mgombea Urais wa FIFA, Gianni Infantino kutokana na mipango aliyonayo juu ya taifa hilo; https://youtu.be/bETRiWHWIbs

Vikosi vya ulinzi na usalama visiwani Zanzibar vyatakiwa kuwa mstari wa mbele katika kulinda na kutetea mapinduzi ya Zanzibar; https://youtu.be/4wt7jkX-L4E

Mahakimu visiwani Zanzibar watakiwa kutenda haki kwa usawa  kwa kila mwananchi wakati wa kutoa hukumu; https://youtu.be/pXJHe_Ax7dE

Wananchi visiwani Zanzibar washauriwa kujiunga katika vikundi vidogo vya kiujasiriamali ili kujikwamua kiuchumi; https://youtu.be/tglSThQi4MA

Vijana visiwani Zanzibar watakiwa kuwa makini na matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii ili kuepusha matatizo yanayoweza jitokeza;https://youtu.be/XO6wDvBiYAI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...