Mdau mkuu wa Libeneke na nanihii
THIS BLOG IS PROUDLY SPONSORED BY VODACOM, TANZANIA'S LEADING CELLULAR NETWORK. | NDOVU SPECIAL MALT "THE SMART CHOICE" Karibu katika hii Globu ya jamii. Una karibishwa kutoa maoni yako yoyote yatakayo jenga taifa letu. Ila nawaomba tuweze kujieshimu kila mmoja wetu kwa kutumia lugha zisizochafua hali ya hewa. Yaliyomo humu hayahusiani kwa vyovyote vile na hariri za magazeti ya Daily News, HabariLeo na Sunday News. Maoni yanayotolewa na wasomaji si ya globu ya jamii, ni ya mtoa maoni isipokuwa pale itavyoeleza vinginevyo. Akhsanteni sana na tuendeleze Libeneke.



 

Saturday, November 7, 2009
flaviana matata in new york november 10, 2009 for charity cat walk













Wadau mlio New York Mnakaribishwa na
Flaviana kuchangia katika hafla hii.
habari kamili
 
© Michuzi | Saturday, November 07, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
wasomi kibao miss utalii ilala 2009
Washindi wa Miss Utalii Ilala 2009- Shaymaa NTEMENA (Kati) mshindi wa pili Aghata Kilala (kulia) na mshindi wa Tatu Sheila Baha

Wasomi wengi mwaka huu wamemejitokeza kushiriki katika mashindano ya Miss Utalii Tanzania, na kutwa mataji karibu yote katika ngazi mbalimbali za mikoa,Wilaya, na Kanda ambazo tayari zimekwisha fanya mashindano yake mwaka huu.

kama ilivyokuwa katika shindano la Miss Utalii temeke 2009, ambapo mrembo mwenye Digrii ya Uhasibu na Utawala wa Fedha Erica Allan, alipotwaa taji la Miss Utalii Temeke 2009/2010, jana Msomi mwingine mwenye shahada ya Sayansi ya Komputa, Shaymaa Ntetema aliweza kutwaa taji la miss Utalii Ilala 2009/2010 katika fainal iliyofanyika katika ukumbi wa Da' West Park Inn Tabata, Dar es Salaam.

Huku mwanafunzi wa Digrii ya Sayansi ya Jamii katika chuo Kikuu Shiriki cha Sayansi ya Jamii (Ustawi wa Jamii) Kijitonyama , Aghata Kilala aliweza kutwaa nafasi ya Pili akifutiwa na Sheila Bahamary , Mwanafunzi wa Shahada ya Juu ya Uhandishi wa Habari katika chuo cha DSJ.

nafasi ya nne ilitwaliwa na Tausi Thomasi mwenye Elimu ya Kitato cha Sita huku nafasi ya tano na taji la kipaji likitwaliwa na Mwanafunzi wa Kozi za awali za Komputa, Jamida Abdu.ambapo katika shindano hilo warembo wote walipita kwa mavazi mbalimbali likiwemo a Asili ambalo pia walilitumia kama ngao ya Asili kwa kuchezea ngoma ya tamaduni za makabila ya Tanzania.

aidha warembo waliweza kujibu maswali mbalimbali yanayohusiana na Utalii, Mila na Desturi, Vivutio vya Utalii na Hifadhi za Taifa za Utalii, Mikoa na Tamaduni mbalimbali, ikiwemo kuimba nyimbo za Tanzania.

washiriki wengine walioingia katika kinyang'anyiro hicho ni pamoja na Tickey Lithon, Frola Nicholuas, Janneth Samson, Edna Endrew, Nezia Mangaka, ambapo shindano hilo lilipambwa na wanamuziki wengi wakiwapo bendi ya Extra Bongo chini yake ally Choki, Zia Musiki, Kundi la Muziki la Ngoma za Asili, Mfalme Bendi chini yake Costar Siboka, pamoja na wanamuziki wa Kizazi Kipya, Abubakary Msasu(Kiboot) ambaye hata hivyo alichelewa kuingia Ukumbini.

kwa mujibu wa Waandaaji wa mashindano hayo, sasa shindano ambalo linatazamiwa kufana kwa aina yake ni shindano la Miss Utalii Kinondoni, ambalo limesheheni wasomi wengi kutoka Vyuo Vikuu mbalimbali ikiwemo, chiuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mzumbe, IFM, CBE, na Vingine Vingi

Mgeni Rasmi katika Shindano hilo alikuwa Mwakilishi wa Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Mwantumu Mohamed, huku wadhamini wa shindano hilo Kampuni ya Mlonge by Makai Enterprises wakiweza kukabidhi zawadi kwa washindi zilizokabidhiwa na Afisa Utamaduni wilaya ya Ilala Shani Mohamed.
 
© Michuzi | Saturday, November 07, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
JK aelekea mkutanoni cairo
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini mchana wa leo, Jumamosi, Novemba 7, 2009, kwenda Misri kuhudhuria Mkutano wa Pili wa Ushirikiano Kati ya Afrika na China, ujulikanao kama Forum on China-Africa Cooperation.

Mkutano huo wa siku mbili, unaotarajiwa kuhudhuriwa na viongozi wengi wa Afrika, umepangwa kuanza kesho, Jumapili, Novemba 8, 2009, kwenye mji wa Misri wa Sharm El Sheik.

Kwa mujibu wa ratiba za shughuli za Mkutano huo, Mhe. Rais Kikwete jioni ya leo, mara baada ya kuwasili Misri kwa Mkutano huo, amepangiwa kukutana na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa China, Mhe. Wen Jiabao kuhusu masuala mbali yanayohusu Mkutano huo, na yale ya mahusiano kati ya Tanzania na China.

Baada ya kumaliza Mkutano huo, Mhe. Rais Kikwete atafanya ziara rasmi ya siku mbili nchini Misri kwa mwaliko wa kiongozi wa nchi hiyo, Mhe. Hosni Mubarak.

Hiyo itakuwa ziara ya kwanza rasmi kufanywa na Mhe. Rais Kikwete katika Misri tokea achukue usukani wa kuiongoza Tanzania, Desemba, 2005.
Wakati wa ziara hiyo, Mhe. Rais Kikwete atakutana na kufanya mazungumzo rasmi na mwenyeji wake, Rais Mubarak kuhusu masuala ya kimataifa na yale yanayohusu uhusiano kati ya Tanzania na Misri.

Uhusiano huo ulianzishwa miaka mingi tokea enzi za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Marehemu Abdel Gamal Nasser.

Tanzania na Misri zimekuwa zinashirikiana katika nyanja nyingi zikiwamo zile za afya, elimu, biashara, kilimo, na zinayo Tume ya Pamoja iliyoanzishwa mwaka 1989.

Chini ya Tume hiyo, Tanzania na Misri zimetiliana mikataba kadhaa ikiwa ni pamoja na ile ya ushirikiano katika sekta ya utalii, ushirikiano katika sekta ya habari, na ushirikiano katika utamaduni na sayansi.

Mikataba mingine ni ya ushirikiano katika masuala ya ufundi, ushirikiano katika masuala ya biashara, ushirikiano katika usafiri wa anga, na ushirikiano katika masuala ya uchumi na ufundi.

Ingawa Mhe. Rais Kikwete atakuwa anaitembelea rasmi Misri kwa mara ya kwanza, viongozi waliomtangulia katika uongozi wa juu wa Tanzania, Mhe. Ali Hassan Mwinyi, na Mhe. Benjamin Mkapa walipata kuitembelea Misri.

Naye Rais Mubarak ameitembelea Tanzania mara mbili, mara ya kwanza, mwaka 1978, akiwa Makamu wa Rais, na mara ya pili Februari 5-7, 1984, akiwa tayari Rais wa nchi yake.
 
© Michuzi | Saturday, November 07, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
Bendera ya Taifa yafika kileleni Kilimanjaro
Mwanamichezo Elly Gerald Minja akianza safari ya kupandisha bendera ya taifa hadi katika kilele cha mlima Kilimanjaro umbali wa mita 5895 (futi 19,331) kutoka usawa wa bahari wakati wa kuhitimisha mbio maalum za kukimbiza bendera ya taifa kwa kupokezana hadi katika kilele cha mlima Kilimanjaro ambapo zaidi ya 70 walishiriki katika mbio hizo, zilizokuwa na ujumbe wa “Fikisha Tanzania katika hatua za juu zaidi” na kudhaminiwa na kampuuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Kilimanjaro. (Picha zote na Francis Dande).
Minja akielekea kileleni Kilimanjaro

Minja akishangiliwa njiani kuelekea kileleni Kilimanjaro

BENDERA ya Taifa iliyokimbizwa kwa miguu na wanariadha nyota kwa siku
tano mfululizo, hatimaye jana ilifika kileleni mwa mlima mrefu kuliko
yote barani Afrika, Mlima Kilimanjaro na kusimikwa rasmi kwenye kilele
cha Uhuru kilichopo umbali wa mita 5895 (futi 19,331) kutoka usawa wa bahari.
Mwanamichezo mwenye uzoefu wa aina yake katika kuupanda mlima huo,
Elly Gerald Minja ndiye aliyeifikisha bendera hiyo mapema leo
asubuhi.

Mbali ya Minja mkazi wa mkoani Kilimanjaro, wanariadha mashujaa
walioandika historia ya kuzindua mbio hizo za aina yake nchini
walikimbiza bendera huku wakipokezana kila baada ya kilomita kati ya
10 na 15 kutoka Dar es Salaam hadi Marangu, Moshi mkoani Kilimanjaro
tangu Jumapili iliyopita.

Zaidi ya wanariadha 70 nchini, wengi wakiwa wa kimataifa walikimbiza
bendera hiyo kwa zaidi ya kilomita 567. Walifika Marangu Alhamisi
jioni na siku iliyofuata baadhi yao walianza kuipandisha Mlima
Kilimanjaro bendera hiyo ambayo mbio zake zimeasisiwa na kudhaminiwa
na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia Bia yake ya Kilimanjaro.
Nyota kama Francis Naali na binti yake, Mary Naali aliyeipa Tanzania
medali ya shaba katika michezo ya Olimpiki iliyofanyika Beijing,
China, Samwel Mwera, Sarah Maja walikuwa kivutio kikubwa kama
ilivyokuwa kwa Peter Pallagyo, mkongwe mwenye umri wa miaka 50 na
malemavu wa mikono aliyewaikilisha nchi katika michuano ya Olimpiki na
Jumuiya ya Madola, Joro Mathias.

Akiwa mwenye furaha isiyo kifani mara baada ya wanariadha kufika
Marangu, Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe alisema
amefurahishwa na jinsi Watanzania walivyozipokea mbio hizo za aina
yake nchini.

“Ninawashukuru ndugu zangu Watanzania kwa sababu bila ya ninyi kamwe
tusingefika hapa, asanteni kwa kuwaunga mkono wanariadha waliokimbia
kwa umbali mrefu kutoka Dar es Salaam hadi hapa, na asanteni kwa
kuiunga mkono Bia ya Kilimanjaro…tunaahidi kuendelea kuwafanya makubwa
zaidi Watanzania…

“Tunajivunia mlima mrefu kuliko yote Afrika na tunajivunia bia yetu ya
Kilimanjaro…hatuna budi kuungana kuvitangaza vivutio vyetu,”
alisisitiza Kavishe huku akielezea umuhimu wa mbio hizo zilizopewa
jina la “Fikisha Tanzania Katika Hatua za Juu”.

Licha ya kuanzisha na kudhamini mbio hizo za kwanza za aina yake
nchini, kwa karibu muongo mmoja sasa Bia ya Kilimanjaro imekuwa mstari
wa mbele katika kudhamini michezo mingine nchini.

Bia hiyo, ndiyo inayozidhamini klabu kongwe na maarufu zaidi katika
soka nchini, Simba na Yanga ikiwa inabeba jukumu la kulipa mishahara
ya wachezaji, makocha na viongozi. Inamwaga pia vifaa vya michezo kwa
klabu hizo.

Pia ni wadhamini wa muda mrefu wa mbio za kimataifa za Marathoni za
Kilimanjaro na zile zinazoshirikisha wanariadha kutoka zaidi ya nchi
25 duniani.

Hata linapokuja katika suala la kutambua umuhimu wa sekta ya muziki
nchini, Bia ya Kilimanjaro ndiyo kinara, kwani kila mwaka imekuwa
ikimwaga mamilioni ya shilingi kudhamini Tuzo za Muziki za
Kilimanjaro.
Imekuwa pia ikidhamini michuano ya mpira wa kikapu ya
mkoani Dar es Salaam `RBA Kili’.

 
© Michuzi | Saturday, November 07, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
mkutano wa maziwa makuu burundi
Rais Rupiah Banda wa Zambia ambaye pia ni mwenyekiti wa Sekretarieti ya nchi za Maziwa Makuu (ICGLR) akiwa na mwenyeji wa mkutano wa nchi hizo Pierre Nkurunzinza wa Burundi, Makamu wa Rais wa Kenya Mh. Kilonzo Musyoki na Katibu Mtendaji wa ICGLR Balozi Liberata Mulamula katika kikao cha asubuhi na wafadhili pamoja na viongozi wa nchi wanachama jijini Bujumbura ambako kulifanyika mkutano wa mstakabali wa amani, usalama na maendeleo ya eneo hilo uliomalizika Ijumaa. Pamoja na mambo mengine mkutano huo umeiagiza ICGLR kuhamasisha na kuratibu juhudi zote za kuleta maendeleo, usalama na amani katika Maziwa Makuu na kutaja vipaumbele vitavyogharamiwa na michango wa wahisani na nchi wanachama.
Balozi Liberata Mulamula akiwa na viongozi wa nchi za Maziwa Makuu wakiwasili kwenye kikao cha asubuhi cha mstakabali wa ICGLR jijini Bujumbura
Balozi Liberata Mulamula akiwa na Marais Rupia Banda wa Zambia na mwenyeji wao Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi kabla ya kuanza kikao cha siku ya pili cha ICGLR jijini Bujumbura. Shoto ni Rais wa Benki ya Afrika, Dk. Bernard Kaberuka
Balozi Liberata Mulamula akipongezwa na marais Rupiah Banda wa Zambia (shoto) na Pierre Nkrunzinza kwa kuandaa mkutano uliofana na ICGLR jijini Bujumbura leo
Katibu Mtendaji wa ICGLR Balozi Liberata Mulamula akiwa na Rais Rupia Banda wa Zambia, Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi, Makamu wa Rais wa Kenya, Mh. Kilonzo Musyoki (wa pili kulia) wa Uganda na Makamu wa Rais wa Burundi pamoja na Rais wa Benki ya Afrika Dk. Donald Kaberuka (kulia)
Rais wa Zambia na Mwenyekiti wa Sekretariati ya nchi za Maziwa Makuu Mh. Rupiah Banda akiongea wakati wa kufunga mkutano wa ICGLR leo
Balozi Mulamula akiwaeleza wanahabari matokeo ya mkutano huo wa ICGLR.
















 
© Michuzi | Saturday, November 07, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6
mazishi ya askofu mstaafu gresford chitemo
Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dk Veretine Mokiwa ( wapili kutoka kushoto) akiendesha misa ya mazishi ya marehemu Askofu Mstaafu Gresford Chitemo (82), mazishi yalifanyika jana nje ya Kanisa Kuu la Utatu Mtakatifu Morogoro

Baadhi ya akina mama ambao ni waumini madhehebu ya Kikrito wakipita mbele ya jeneza lilolowekwa mwili wa Marehemu Askofu wa kwanza wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Morogoro, Gresford Chitemo (82) kabla ya mazishi yake.


 
© Michuzi | Saturday, November 07, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
Friday, November 6, 2009
aluta
“Let’s be Patriotic and Objective”
The East African Customs Union Debate

Dear Fellow Tanzanians (Tanganyikans and Zanzibaris) lets be patriotic!

What Mashaka was cogently pointing out, was to open our eyes on issues that affect all of us and our next generations. What he raised is not new (as most have said, he also knows that): any patriotic Tanganyikan would know this; It was in fact raised by Prof. Wangwe's Commission on East African Federation Fast Tracking..., sometime last year or so (remember the infamous Wako's Fast Tracking ambition)- am afraid Wako still features in this new move of the custom union (c.f recent ministers verdict on the customs union).

The President affirmed to what the Wangwe's Commission found from the Tangayikans, and it is what in a nutshell Mashaka is pointing out. I want to believe that our current leaders are not Ostrich to bury their heads in the sand, and be oblivious of the outcome of what they staunchly opposed (the Wako Report on Custom's Union esp. Land, free movement of people, right of establishment etc) they like any sane person, smelled the rat in Wako's Report....This is recorded in the Hansard for it was debated in the august house in Dodoma. And this called for the Presidential Wangwe's Commission.

I want to believe that our very current leaders (hey, not all are corrupt -let’s not stereotype) would not allow this draconian clauses to feature in the Customs Union Charter (it’s unthinkable to think they will).

I want to believe that the President would not be ill-advised (mislead) by his advisors or himself not being keen to know what he is asserting too (if it’s going to sales out his people, this includes his own son propagated by the (with due respect)infamous imbecile Joseph full of critics that make him sound Kenyan than a patriotic Tanganyikan. Who wants monarchs in Tanganyika (this by the way it’s another subject that we may need to discuss-cause can’t you see the political system is tainted with names of names already?-time bomb in the making ).

We all know that Tanganyika can’t live in isolation; it has been well put by others who contributed on the benefit of economic integration, I won’t venture on that. Mine is to humbly plead to you all (Tanganyikans and Zanzibaris of cause; reading this blog) to be more objective than subjective. It's not about the language prose or syntax that matters, rather it’s on the issues raised or what you can rise that is beneficial to our mother land.

I don't see anything wrong of one having ambitions (if Mashaka wants to aspire for the coveted post, so be it) he shows how resolute an individual he is, you to need to be like him and stop the personality fights that won't do any good to us-but just expose how uncouth some critic minds can be.

From my readings of Mashaka's articles, he sounds an individual who loves his country and all he wants is to raise pertinent issues. Honestly if one raises such issues do we now label him/her a politician? This is a problem of shallow thinking, it’s not the domain of politicians only to speak for us, we too have a mind, ears and eyes to know whats happening and we have the right to speak out or views (does not our Katiba provide this? don’t we have this privilege offered by Uncle Michuzi? so why attack someone and not the issues he raises? Be objective please.

Fellow Tanganyikan's lets be objective, we may not be the ones to suffer today but think of your young ones (kids or relatives-next generations) what legacy are we leaving for them? If you are privileged (I bet you are for not all Tanganyikans are able to have access to internet let alone most can’t read or write even in kiswahili (you must have watched the Maisha Plus auditions to know what am saying I felt so embarrassed when they went to places like Mtwara).....You are blessed to be able to have access to this medium) so let’s not be so subjective and miss the mark (unless if one is not patriotic or not one of us like those who want us to focus on Mashaka as a person and not on what he raised for us to ponder!

I am not afraid of being criticised for supporting what Mashaka and all others herein have said regarding Tanganyika's/Tanzania's disadvantaged position in the Custom's Union, let them critics come, but I warn you, be objective in your criticism for the benefit of us and the generations to come. Least you display your blinkered mind!

Long live all those who support sanity and integrity in Tanzania. Uncle Michuzi, Aluta continua for running this blog. I know I may have written a long comment. But am pissed off by bigoted minds who do not want to read between the lines of important messages. Yet such claim to be world class... God knows what!

Lastly, ndugu zangu kingereza ni lugha kama nyingine kwa ajili ya mawsiliano, sijaona mtu yeyote humu ndani kwamba anababikia hii lugha (save for Joseph-who is paranoid) watu wanachofagilia ni maada zinazotolewa au kuanzishwa na Mashaka (ambaye simfahamu).

Mashaka na wengine endeleeni kuleta Maada zinazo amsha aari za kiuzalendo; embu watazameni mataifa yalio na wazalendo (real patriots) Isreal, Marekani, Iran, Korea Kaskazini, China, na hata Kenya (msinisulubishe nina point hapa-Kenya wanasukuma hii East Africa Agenda kwa manufa yao (wote hamtabisha-so what? ili maslai ya taifa lao yaeendele sawa? sas huu ndio uzalendo haswa, nasisis tukiupinga au pinga vipengele fulani fulani nasi tunakuwa WAZALENDO, simple.

Note: Kenyans, Ugandans Rwandese, Burundians wote kuna ukabila na mapigano ya hapa na pale but when it comes to EAC mmh wote lao moja!!! hatushangai? Sasa Mahaka na watu kama yeye (wanao onyesha uzalendo wanamakosa gani?

Sisi wa Tanganyika je? mmmh nisaideni hapo- juzi juzi tu wazanzibari wamesema kato natural gas na mafuta ni yao siyo ya muungano!!!! Tanganyika mpo? Kimya - PM alipo sema wao ni mkoa do you know what happened?

Let me end here....will post more to provoke patriotism feelings may be it will elevate our lost patriotic souls and rescue the sinking Tanganyika (what a lovely name-wish we could revive it and in it, rebirth the spirit of patriotism)....the ball is on your court.

Yours,
Concerned Tanganyikan.
 
© Michuzi | Friday, November 06, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 14
benefit concert in columbus, ohio, november 21, 2009

In an effort to help my fellow Albinos in Tanzania improving their overall wellbeing; Nov 21st from 11pm, Tanzanian, Kenyan, and Zambian Artists from all over the states will be joining me for a BENEFIT CONCERT in Columbus, OH.
All proceeds go to purchase sunscreens for kids ages 5-10 in an exertion to prevent skin cancer. Please Join us to make this happen!!!
-- +255 717 705320
+255 756 610100
KARIBUNI SANA WOTE
ALBINO FULANI
 
© Michuzi | Friday, November 06, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
barclays cup latua bongo leo

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Idd Kipingu (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Barclays Tanzania, Rished Bade, wakilinyanyua juu Kombe la Ligi Kuu ya Uingereza la Barclays , katika mkutano na waandishi wa habari, baada ya kuwasili Dar leo.
 
© Michuzi | Friday, November 06, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 13
SHUKURANI
Hayati Kenny Wilson Mkini
Kwa niaba ya familia ya Mr+ Mrs Mkini tunapenda kuwashukuru jumuia ya watanzania waishio Uingereza pamoja na Ofisi yetu ya Ubalozi kwa kuweza kufanikisha kusafirisha mwili wa kijana wao Kenny Wilson Mkini ambaye alifariki dunia tarehe 13/10/09 huko Milton keynes na kuufikisha Iringa Tanzania ambako mazishi yalifanyika tarehe 31/10/09.
Mungu awabariki na kuwalinda katika shughuli zenu za kila siku.
AMINA.
 
© Michuzi | Friday, November 06, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 4
maalim seif atinga ikulu zenji leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Amani Abeid Karume, akimlaki Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Shariff Hamad alipowasili Ikulu ya Visiwani leo katika ziara ya kihistoria kwani toka Mh. Karume Maalim hajawahi fika Ikulu kwa mazungumzo rasmi isipokuwa katika dhifa za kitaifa na sherehe zingine. Kulia ni Mh. Ismail Jussa, Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa wa CUF. Kilichoongelewa bado kutoka nje
Picha na mdau wa Ramadhani Othman Ikulu Zenji

 
© Michuzi | Friday, November 06, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
ratiba ya kuaga mwili wamarehemu alex mkama kusaga

 
© Michuzi | Friday, November 06, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
shingo feni kila mahali duniani

 
© Michuzi | Friday, November 06, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
Mlezi wa Miss TZ na ambaye ni Mkurugenzi wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) Mh. Emmanuel Ole Naiko akimkabidhi bendera ya Taifa Vodacom Miss Tanzania Miriam Gerald ambaye anaiwakilisha Tanzania kwenye Miss World 2009 Desemba 2, 2009 huko Sandton, Sauzi. Miriam anaondoka kesho kuelekea nchini humo ili kujiunga katika kambi ya Miss World pamoja na warembo wengine wanaowakilisha nchi zao.
 
© Michuzi | Friday, November 06, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
salamu toka cairo
Kocha Marcio Maximo na Taifa Stars

Habari toka Cairo zinasema usiku wa kuamkia leo Ijumaa Taifa Stars iliyokuwa ikimenyana na Misri katika mechi ya kirafiki na kujikuta imekula bao 5-1.

Kwa zaidi cheki link hio chini na magoli ya waarabu,
ingawa goli letu hawakulionyesha.

http://www.youtube.com/watch?v=VVT-Sjsv7BM
 
© Michuzi | Friday, November 06, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 26
msaada tutani
TANGAZO TANGAZO

NATAFUTA MKALIMANI WA KUTAFSIRI KUTOKA KIPOLAND KWEDA KISWAHILI NA AWE ANAJUA KINGEREZA.
KWA MAELEZO ZAIDI TUMA EMAIL KUPITIA,
nganzo88@yahoo.no
SIMU
+4747262181.
Wako
JB PROMOTIONS&JB HIPHOP WEAR-
 
© Michuzi | Friday, November 06, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 10
aluta continua
East African Debate, John Mashaka is Wrong

As a world renowned economics from one of the most prestigious world Universities, community college in Washington DC, I am glad to get a chance to expose the intellectual wanna be, politician and a philanthropist. John Mashaka is absolutely wrong and should fear in Tanzanian society because he is a smart young man who knows how to manipulate his readers regarding the East African debate, and me and US- Blogger wants to debate Mr. Mashaka in the TBC- Radio and Clouds FM and also in TV as well.

John Mashaka is forgetting the reality that, the world is now one and no single nation can do without the other. We should not blame Kenyan’s or Even Ugandans for Tanzanians stupidity. Mashaka should blame the corruption in Tanzania. If Tanzanians don’t know what to do with their land, then let Kenyans utilize it. If Tanzanians speak Kanumba style, then let Kenyan’s take their Jobs. This is how economics work.

The famous John Mashaka is a rogue and corupt lawyer from Durham, and Economics who learnt not how to defend his clients, but how to brain wash people. He is a typical politician and Nyerere look alike who is trying to brain wash Tanzanians so he can become the future ruler. All I can say is that, he has no ability to lead a country, and very full of himself, has he is enjoying being called Mesiah, Nabii and genius by his dumb followers. He needs a religion to lead not a country.he think he can be like Obama but he cant

Mashaka is forgetting that, Kenyans are our neighbors and good brothers, who can defend us if our country is attached. Our teachers are mainly Kenyans, our businesses are mainly run by Kenyans who give up jobs, and that is why our country is developing so rapidly, they have also advertised Mount Kilimanjaro for us. Kenya factories produce our cooking oil, bathing soaps and clothes. Tanzania factories died long time ago while mashaka is living in the United States making the money, and the world economy goes into recession because of their greed. He is part of the corruption in walls-street. and Dr. US- Blogger pointed this issue that mashaka is corruption and that is why he dont want debates with him because he know us-blogger is clever chap

Mashaka does not write anything new, he is manipulating people because he knows better English, and has exposing from working with wall-street and getting to work with the reach whites in the corporation America elite, he is therefore elitist who should not advise anybody about east Africa treaty. Mashaka want to come back to Tanzania to become the prime minister. But if prefer Riziwani to be the prime minister and not mashaka, because riziwani is more cleaver, and in CCM.

Now East Africa treaty should go on, and signed by botht he presidents of all counties for rapid growth in the community, without mashaka, because if you elect him, he will refuse it and make our country to be economic launching pad for America and wall-street who are making the darling because he is the only black from Tanzania . riziwani can read Tanzania better than mashaka , because riziwani already is living in the state house where his father is controlling the country. Mashaka is a child of a farmer from musoma who is become elitist education from america, and does not know tanzania but poem english.
Mdau
Joseph Hikalimba,
USA
 
© Michuzi | Friday, November 06, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 55
Thursday, November 5, 2009
Ally Choki ,Mack Dee kupamba Miss Utalii Ilala 2009.
Mkurugenzi wa Extra Bongo, Ally Choki, akifafanua jambo kuhusiana na kutoa Burudani katika Onyesho la Miss Utalii Ilala 2009
Kivumbi cha kumpata mrembo wa Fainali za Miss Utalii Ilala 2009 ni tarehe 6/11/2009 Ijumaa katika ukumbi wa Da’ West Park Inn Tabata, ambapo jumla ya Warembo 12 watapanda katika jukwaa kuchuana kuwania taji kwa musimu wa 2009/2010.
Katika shindano hilo ambalo macho na masikio kwa wakazi wa Dar limewatia wazimu kutokana na kutoelewa nani ataibua nderemo, Vifijo, na makelele kutokana na warembo wote kuwa katika hali ya Ushindani mkali ambapo kila mrembo amejigamba kuibuka na taji hilo kasha kubeba vifaa mbalimbali ikiwa ni pamoja na fedha thamani yake ikiwa ni milioni mbili .
Warembo hao walioanza kambi kwa takribani mwezi mmoja katika Ukumbi wa Da’ West Park Inn-Tabata, waliweza kujifunza masuala mbalimbali yanayohusiana na Utalii unaopatikana Tanzania ikiwemo Hifadhi za Utalii za Taifa, Vivutio vya Kitalii, pamoja na Maajabu ya Dunia yanayopatikana hapa Tanzania.
Aidha katika shindano hilo, warembo hao wataonyesha Mavazi ya asili ya makabila mbalimbali ya Tanzania, watacheza ngoma kuonyesha utamaduni wa Mtanzania, Watavaa mavazi ya Kitanzania ya Kitalii, vazi la Ubunifu lililotengenezwa kwa maligafi za hapa Tanzania, pamoja na mengine mengi yanayohusiana na masuala ya Utamaduni wa Mtanzania.
Warembo wanaowania taji la Miss Utalii Ilala 2009 ni pamoja na ,Tickey Lighton,Neema King’aka, Edna Endrew, Frola Nicholaus, Sheila Baamary, Janeth Samson, Nezia Gabriel, Roselina Sekwao, Jamida Abdu, Aghata Kilala, Tabus Thomas, na Shaymin Ntemena.
Zawadi mbalimbali zenye thamani ya shilingi milioni kumi zitatolewa kwa washindi na washiriki, ikiwa ni pamoja na Fedha, na vifaa mbalimbali vyenye thamani mbalimbali, zitalolewa kwa washindi ambapo mshindi wa kwanza kwa mujibu wa Waandaji wa shindano hilo ni thamani ya shilingi milioni 2, mshindi wa pili thamani ya million moja na laki mbili ,mshindi wa tatu thamani ya laki nane na , mshindi wa nne na tano, thamani ya laki tano na mshindi wa Kipaji (Talent) ni thamani ya laki saba na nusu na kifuta jasho kwa wote ni shilingi elfu thelathini na watapatiwa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi laki moja kila mmoja.

 
© Michuzi | Thursday, November 05, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
bujumbura mchana
hayati hemedi maneti wa vijana jazz alipamba moto sana enzi hizo na kibao chake cha 'Bujumbura' kiasi hata ikawa wengi wangependa kupaona mahali hapo walipokula wali na nsambe....
katikati ya buja
bango linaeleza kila kitu
mtaani
pembeni mwa mji
taswira ya mji wa bujumbura toka kwenyevilima vya kiriri ambako ndio kama ostabei ama masaki ya dar
mikirismasi ishamea kila mahali katika mji wa bujumbura ambao ni wa kijani kila mahali,
mfano wake kama kigoma ama kyela vile yaani joto lakini unyevunyevu.

 
© Michuzi | Thursday, November 05, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 19
SHIMIWI yafikia tamati morogoro
nahodha wa timu ya Ikulu akionesha kombe bada ya kushinda katika netiboli michezo ya SHIMIWI
Katibu Mkuu Kiongozi , Philemon Luhanjo ( kulia) akifurahia jambo baada ya kumkabidhi kombe la ubingwa nahodha wa timu ya soka ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Ismail Ahmadi, .baada ya kuibuka kidedea kwa kuifunga RAS Mkoa wa Tanga kwa mabao 2-1 katika mchezo wa fainali za mashindano ya Shimiwi ya 29 , juzi mjini hapa
Wachezaji wa timu ya Netiboli ya Ikulu, wakishangilia kwa staili mpya baada ya kufungua shampeni mbele ya waachezaji wenzake baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali kati yao na Uhamiaji ambapo katika mchezo huo Ikulu ilishinda mabao 48- 29, na kutwaa ubingwa wa netiboli

Baadhi ya wachezaji wa timu mbalimbali ya Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo, wakipita mbele ya Jukwaa la mgeni rasmi , Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo ( hayupo pichani) wakati wa maandamano ya timu 55 kutoka Wizara, Idara na Mikoa katika hitimisho la mashindaho ya Shimiwi ya 29 yaaliyofikia tamati jana Mkoani Morogoro





 
© Michuzi | Thursday, November 05, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
tanzanight helsinki na tampere

Habari Mdau
Naomba kuwakumbusha kuhusu show ya Tanzanight hapa Finland.Show ya kwanza ipo kesho tarehe 6.11.
@ Korjaamo,
Helsinki na
kesho kutwa 7.11. @ Klubi,
Tampere.
Jukwaani wanapanda Sanaa Sana, Dudu Baya, Benjamin wa Mambo Jambo na Andrew Ashimba pamoja na wanamuziki toka Finland.Kwa maelezo zaidi tembelea viungo hivi:
http://www.clubworldbeat.com
 
© Michuzi | Thursday, November 05, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
Miss Tanzania - a Congratulations




The National Costume competition of Miss Earth 2009 was held on November 4, 2009 at the Cultural Center of the Philippines Grand Theater in Pasay City.All of 87 candidates participated in the competition, with Miss Tanzania winning the coveted Best in National Costume award.
Minor/sponsor awards were also given at that night which includes the Placenta Award which is given to Miss Puerto Rico and Pasigandahan Award (the award name is a combination of the main river that passes through Manila and the Filipino word for beauty) which went to Miss Guam.
 
© Michuzi | Thursday, November 05, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
BBC Swahili katika mobile

Tunapenda kuwakumbusha wasomaji na wasikilizaji wetu kuwa habari kutoka Idhaa ya Kiswahili ya BBC zinapatikana kupitia wavuti maalum kwa ajili ya simu za mkononi -
http://www.bbcswahili.com/mobile
Huduma hii mpya inawawezesha watumiaji wa simu za mkononi kusoma taarifa za kila siku moja kwa moja katika simu zao badala ya kutumia kompyuta. Hata hivyo ieleweke kuwa baadhi ya simu (handsets) haziwezi kupata huduma hiyo kwa kuwa hazikuundwa maalum kupokea mawasiliano ya tovuti.
BBC haitozi fedha kwa wanaotumia huduma ya wavuti kupitia simu za mkononi, ni bure kwa kila mtu. Lakini unatakiwa kuzingatia kuwa makampuni ya huduma ya simu za mikononi au PDA kwa kawaida hutoza gharama kutumia huduma ya internet. Lakini hutofautiana kutoka kampuni moja hadi nyingine. Kuna uwezekano ukatozwa na kampuni yako ya simu gharama ambazo hujulikana kama “data charges”.
Endapo huna uhakika wa uwezekano wa kutozwa fedha kwa kutumia tovuti kwenye simu yako, tafadhali wasiliana na kampuni inayokupa huduma ya simu. Lakini kwa kuwa taarifa ni za maandishi pekee bila picha, sauti au video, gharama yake inaweza kuwa ni ndogo.
Toleo la wavuti ya BBC Swahili mobile linapatikana kupitia simu za mkononi, PDA na vifaa vingine vya mawasiliano ya mkononi. Kutakuwa na taarifa za matukio na vile vile soka. Wakati wa michuano ya kombe la mataifa ya Afrika nchini Angola, mwanzoni mwa mwaka ujao, utaweza kupata taarifa za moja kwa moja
Huduma kama hii pia inapatikana kutoka Idhaa nyingine za BBC zinazorusha matangazo Afrika katika lugha kama Kisomali, Kihausa, Kinyarwanda, Kireno na Kifaransa.
http://www.bbcswahili.com/mobile
 
© Michuzi | Thursday, November 05, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
kama mwana, kama baba
Athumani Juma Ubao a.k.a AJ Ubao a.k.a Father D

Na Sunday Simba Shomari
Kwa jina anaitwa Athuman Juma Ubao au AJ Ubao au Father D, alizaliwa katika hospitali ya Ocean Rd jijini Daressalaam Tanzania ni mtoto wa pili katika familia ya Mzee Juma Ubao a.k.a King Makusa.

Aj anasema “nimetokea kwenye ukoo wa muziki kuanzia kwa babu yangu hadi baba mzazi ambaye ni mkongwe wa muziki Tanzania na enzi zake alikuwa akienda kurekodi miziki Nairobi Kenya akiwa na bendi yake Six Manyara kwani wakati huo hakukuwa na studio pale nyumbani Tanzania”.

Lakini hivi sasa mzee Ubao ameanzisha kundi liitwalo Wanne Cultural Group akiendeleza libeneke katika utamaduni wa Mtanzania.

Kwahiyo alianza muziki miaka mitano iliyopita akiwa katika kikundi kiitwacho “The Swahili” akiwa na mwenzake Herry Omary a.k.a Dirty Herry hapa Washington Dc. Anaendelea kusem “tulitoa albam moja ambayo haikupata mafanikio makubwa”.

Hapo basi ndipo alipoamua kubadili mwelekeo wake wa muziki kama mwimbaji na Rapper kwasababu anasema nimejifunza kwamba sikuhizi muziki wa R&B unategemea hiphop na hiphop nayo inategemea R&B kwahiyo unaweza ukavuta watu wote wa makundi hayo mawili kupenda muziki wako bila wasiwasi.

Hivi sasa nimeamua kuimba mwenyewe yaani “Solo” na kazi yangu ya kwanza inaitwa Haya ni Maisha yangu (This is my Life) na sababu ya kuipa jina hili anasema ni kwamba anaongelea juu ya maisha yake na mambo magumu aliyopitia.


Albam hii itakuwa ni katika miondoko ya R&B na HipHop na imetengenezwa na prodyuza Akili Msola a.k.a Mtaalam anasema “tunategemea itakamilika mwanzoni mwa mwaka ujao. Na itakuwa na nyimbo maarufu kama Adabu Tupu, Macho, Feel The Music, Haya ni maisha yangu na nyingine nyingi itakuwa ni moto mtupu anaongeza AJ.


“Nataka muziki wangu uwe wa starehe na pia kuelimisha jamii na ndio maaana naimba kwa lugha mbili kiingereza na Kiswahili na pia ndoto yangu ni kuwa mmoja wa wasanii bora kutoka Daressalaam Tanzania anasema AJ kwa utulivu mkubwa.

Napenda nichukue nafasi hii kushukuru blog yako, T&J Entertainment, Dj Luke Joe, Si Matani, DMK Global, Dj Joe, Afrikan Track, marafiki na mashabiki zangu wote wanaoniunga mkono katika safari yangu kimuziki nawaahidi muziki mzuri na msikose kununua albam yangu ikitoka nawaahidi sitowaangusha.

AJ ameonyesha ukomavu kwenye masuala ya muziki na hivi sasa anasema anafanya kazi kwa bidii kuweza kuwapa mashabiki zake muziki ulio bora zaidi.





 
© Michuzi | Thursday, November 05, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
libeneke la TATUNANE
Haya wandugu
HAPA INABIDI KUSAHIHISHA MAKOSA
TAFADHALI TUMIA LINK HIZO HAPO CHINI KWA KUTAFUTA WALE WA TATUNANE
ASANTE KWA USUMBUFU

Hallo friends here is correction,
please use the link to find out about the
TATUNANE in the Net.

ni mategemeo yangu kwamba woooote hamjambo

tafadhali visit

www.myspace.com/tatunane
www.eastafricantube.com/profile/tatunane/

tunaenda kwa speed kali kwenye mitandao

wasalam
seif rengwe
 
© Michuzi | Thursday, November 05, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
john mashaka on EA treaty
East African Treaty, Our Leaders “MUST” Tread Cautiously!

In the age of regional economic integration, and amalgamations in which powerful regional blocs have been created with hopes of better life, and improved economic conditions for the citizens within the blocs, we as Tanzanians, must carefully study the historic nature, economic end results of such unions, before committing our nation into the hyped East African Treaty

Unions are good on paper and excellent when it comes to economic negotiating power for the weaker member countries. We welcome them. However, one would like to know the possibility of ratifying the East African Treaty without Tanzania’s land being in question? If the land is a must, then I have seen death of the treaty before it is born. Let it die, because what is hiding behind the land has far reaching, diabolic consequences. And our leaders will be committing a big crime- TREASON- for the current and generations to come, by ratifying the treaty, which will entitle the jobless and the landless in the neighboring countries, to re-settle in Tanzania.

Political analysts, economists, historians and even intellectuals will agree with me that, so far, most of the major global integrations have not benefitted some of the poorer countries, which rushed to embrace them. Romania for example, is still poor than before, and her citizen’s are facing such a hard time in finding jobs in the most developed Europeans nations, as they work for a fraction of what ordinary British and other Europeans would work for. Beneficiaries of these economic blocs have been richer nations which have exploited poorer nations with nothing substantial in return

North American, NAFTA, which was to integrate United States, Canada and Mexico into one economic bloc, is nothing but a failed one sided project. United States border with Mexico is nothing but a military zone. The so called illegal immigrants flooding the United States of America are a big strain into the American social services. The labor force from Mexico into the United States faces such a hard time, from wage disparity to integration into the American society; any Latino is simply a Mexican and regarded illegal immigrant.

Professor Ibrahim Lipumba, and Issa Shivji objected and questioned Tanzania’s readiness into the amalgamation. I agree and support their concerns and stances, and anybody keen enough will do the same, due to the fact that, there are many underlying issues that needs to be addressed before such a marriage is ratified. This matter is of national concern; it is going to affect the current and our future generations, and is bigger than any political figure or political party.

It needs national consensus and not just a decision from a few leaders, as it could turn out to be a Trojan horse we willingly injected into our beings. Tanzania is a sleeping economic giant which can dwarf all East African nations combined could it have patriotic leaders who have the interest of the country at heart, and not their greed. We do hope, however, that, the next few years will bring such leaders. Therefore, the country does not need a hasty, photo op, paper signing, and country selling ceremony in the name of regional friendship.

Tanzania already, is becoming a bare land; huge craters are cropping up everywhere, with the country’s wealth taken away by foreigners due to bad governance, and shoddy deals –corruption- perpetrated by her economic criminals. That is enough; we can’t afford to give our land, and those in need of Tanzania land, should follow the regular immigration protocol and country’s laws to acquire piece of it. In short, Tanzania has more to lose than any other country within the union

Let’s not push our country into social chaos because of appeasement or political correctness. While we are hyped over the benefits, let’s also ponder the unseen consequences; both in social, political, economic, and security spheres. Our neighbors are squabbling over a small island of Migingo; and almost went to war because of this tiny 4000 square meter (size of a football pitch); an insanity, and clear hidden intent of our neighbors’ insistence of Tanzania land inclusion.

They should resolve such issues before we can let our land be shared freely with them. Kenya is basically a landlord cum-squatter’s society, and many of her citizens have died as a result of land related wrangles. Opening Tanzania’s doors will be nothing less that re-location of the landless Kenyans into Tanzania. And who knows, maybe two decades later they may claim Arusha as part of Kenya, bringing about Migingo ACT II

We are better than anybody else's euphoria, a tradition from some of our neighbors who believe, and still claim supremacy over English language , is likely to bring major labor disputes as those who consider themselves dandy will demand most of the plum positions within the union. This complicated, irregular, perverse, and asymmetrical expected problem, needs more study for a balanced and equitable consensus between the member nations, which will eventually address, and avert such scenarios and disputes. If they can mistreat Tanzanians, in their country, what will happen to Tanzanians who crosses the boarder to look for jobs in masses?

One will wonder on how many Tanzanians have their dream jobs in Kenya – a country infested with tribalism and discrimination- compared to Kenyans or Ugandans working in Tanzania; and the answer should be a contributing factor on determining whether time is ripe to commit into the treaty.

The region can have a centralized capital market (exchange), uniform tax system, and even access to the ports of entry under uniform codes, without compromising security and bring land into the equation. Tanzanian based corporations can raise capital freely in Uganda Stock Market, and so could Uganda’s, as well Kenya based companies do the same in Tanzania. And all these can happen without inclusion of land into the discussion.

The most industrialized nations within the Union will be creating such unbalanced trade in which domestic productivity, both in industrial, service, tourism and other sectors will be retarded and perhaps be forced out of operation by the most developed partner countries. If some of our neighbors can market Kilimanjaro as their historic site. With a common market, even Serengeti will part of their country’s national wonder. Tanzania industrial growth is already suffering from Chinese counterfeiting pandemic, and fully opening the small domestic market for foreign goods will spell a total collapse of the struggling manufacturing industry.

Tanzanian must protect her industries and her people from unfair trade practices, and this translates to the very core issue of the nation not being ready to join the East African common market. Complexity of the matter is profoundly intricate; it involves immediate and long term consequences whose echoes will be felt not only five years from now, but decades and even centuries to come. And if the need be, there should be a national referendum to determine whether the integration is needed in the first place, bearing in mind the security and social threats behind the treaty

Thorough review, extreme caution, vigilance and due diligence must supersede pressure and political correctness in reviewing the underlying interest and benefits Tanzania is likely to receive in return in the event of ratification of the treaty. And the greatest of all, we must not forget the dangers behind the land issue; which could spin out of control should the Dar-es-salaam regime ignore the rising tide of opposition within her population, and proceed with the ratification of the treaty, more so with the land “clause” remaining intact. We must synchronize most of our issues or other concerns, and keep the land time bomb out of the equation for it to be a valid integration.
This is my perspective, what about yours, dear reader?

Mungu Ibariki Tanzania

John Mashaka
Mashaka.john@yahoo.com
 
© Michuzi | Thursday, November 05, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 58
ah, yale yaleeeeeeee...
Liverpool conceded a 90th-minute goal at Lyon to leave their Champions League hopes hanging in the balance.

Substitute Ryan Babel had put the Reds ahead late on with a 25-yard thunderbolt into the top corner.

But some sloppy defending allowed Lisandro through on goal and he calmly dinked a shot over Reds keeper Pepe Reina to dramatically equalise.
for more from BBC SPORT

RESULTRS TONIGHT
Arsenal 4-1 AZ Alkmaar
Dynamo Kiev 1-2 Inter Milan
Fiorentina 5-2 Debrecen
Lyon 1-1 Liverpool
Rubin Kazan 0-0 Barcelona
Sevilla 1-1 VfB Stuttgart
Standard Liege 2-0 Olympiakos
Unirea Urziceni 1-1 Rangers

 
© Michuzi | Thursday, November 05, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 9
menyu ya bujumbura...
hapo anko nanihii kapiga ubugali na sangala gratine. acha!

 
© Michuzi | Thursday, November 05, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
bujumbura by nite
hapa ni hotel club du lac tanganyika, ngoma mtindo mmoja
vijana wanatia raha
ngoma za kirundi orijino...



 
© Michuzi | Thursday, November 05, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 5
Wednesday, November 4, 2009
mshale wachoma anga


Wapenzi Wa Muziki kaeni Mkao Wa Kula, MSHALE msanii mpya anakuja kuwashika na Single yake Makini iiitwayo NIWE NAWE, Karibuni. Pini Hili Limerekodiwa Pale Fish Crab ,chini ya Producer Mahiri, LAMAR.

Ndani Ya Single Hii Mshale Amemshirikisha Rapper Maarufu katika Tasnia ya Muziki wa Bongo Fleva, ambaye Jina Lake Limehifadhiwa Kwanza Mpaka Single hii Itakapoenda Redioni mapema wiki ijayo. Karibu MSHALE ndani ya Jukwaa la Bongo Fleva!”

FYI!:
Inatoka redioni Jumatano ijayo, 11th Nov, 2009.
 
© Michuzi | Wednesday, November 04, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 8
mbio za kuelekea kilimanjaro zapita same leo
Mkuu wa Wilaya ya Same, Ibrahimu Marwa (kushoto) akimkabidhi bendera ya taifa mwanariadha, Francis Naali leo kabla ya kuanza kwa mbio maalumu za kukimbia mbio maalum za kukimbiza bendera ya taifa hadi kilele cha mlima kilimanjaro.Mbio zenye ujumbe wa “Fikisha Tanzani katika hatua ya juu zaidi” na kudhaminiwa na kampuni ya bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Kilimanjaro.
Mwanariadhaa, Francis Naali akianza mbio maalum za kukimbiza bendera ya taifa hadi katika kilele cha mlima kilimanjaro. Mbio hizo zilianza leo wilayani same huku zikiwa na ujumbewa "Fikisha Tanzania katika hatua ya juu zaidi" zimedhaminiwa na kampuni ya bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya kilimanjaro.

Francis Naali akikata mbuga kukimbiza bendera ya taifa hadi katika kilele cha mlima kilimanjaro. Mbio hizo zilianza leo wilayani same huku zikiwa na ujumbewa "Fikisha Tanzania katika hatua ya juu zaidi" zimedhaminiwa na kampuni ya bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya kilimanjaro.


MAPOKEZI makubwa ya wanariadha wanaokimbiza bendera ya Taifa kwenda kilele cha Mlima Kilimanjaro, yamemzindua Mkuu wa Wilaya ya Same, Ibrahim Marwa na sasa ameahidi kuelekeza nguvu zake katika kukuza mchezo huo wilayani mwake.

Marwa aliyasema hayo jana mjini hapa alipokuwa anakabidhi bendera ya Taifa kwa mwanariadha nyota Francis Naali, aliyeanzisha ngwe ya mwisho ya mbio hizo zinazodhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia Bia yake ya Kilimanjaro.

Naali alikuwa anaanzisha mbio kumalizia kilomita 104 kati ya 567 walizokimbia wanariadha zaidi ya 70 tangu kuanza kwa mbio hizo Jumapili iliyopita jijini Dar es Salaam na kuendelea kwa siku nne mfululizo, zikipita katika mikoa ya Pwani, Tanga na hatimaye Kilimanjaro.

“Jamani, nimehamasika sana na ninawashukuru Bia ya Kilimanjaro kwa kuipa Same heshima ya kuwa na kituo cha mbio hizi. Binafsi nimehamasika na ninatangaza rasmi kwamba, kuanzia sasa nitaweka mkazo katika riadha wilayani kwangu.

“Ndiyo, nani asiyejua michezo inatoa ajira kubwa? Hawa wanariadha tunaowaona leo wameajiriwa au wanaendesha maisha yao kupitia riadha, nasi Same tuna vijana wengi ambao mkama wakiandaliwa vyema, watakuja kuwa nyota wa kweli wa nchi hii,” alisema Marwa ambaye mara kadhaa hotuba yake fupi ilikatishwa kwa makofi, vigelegele na mayowe kutoka kwa wakazi wa Same waliofurika Kituo Kikuu cha Mabasi mjini hapa kushuhudia wanariadha wakiianza ngwe ya mwisho ya mbio hizo.

Naye Meneja Masoko wa TBL, David Minja akiwa mwenye tabasamu, alisema: “Tunajivunia kampeni hii ya kupandisha bendera katika Mlima Kilimanjaro, na kikubwa tunashukuru kwa jinsi Watanzania walivyopokea kampeni hii ya “Fikisha Tanzania Katika Hatua za Juu”. Tunajivunia mlima mrefu kuliko yote Afrika na tunajivunia bia yetu ya Kilimanjaro…”

Kauli ya shukrani kwa wakazi wa mikoa waliyopitia wanariadha hao ilitolewa pia na Meneja wa Bia ya Kilimanjaro, George Kavishe.
Alisema; “Leo ni siku ya nne ya mbio hizi za aina yake na tunashukuru kwa mwamko ambao Watanzania wameuonyesha kote tulikopita.
Sisi wa Bia ya Kilimanjaro tuko kamili na tunajipanga kuhakikisha mbio hizi zinapata mafanikio zaidi na zaidi, lengo likiwa kwenda sambamba na umaarufu wa mlima wa Kilimanjaro.”

Mbali ya kuanzisha kwa mbio za kukimbiza bendera ya taifa kuelekea kilele cha Mlima Kilimanjaro, Bia ya Kilimanjaro imekuwa mstari wa mbele katika kudhamini michezo mingine nchini.

Bia hiyo, ndiyo inayozidhamini klabu kongwe na maarufu zaidi katika soka nchini, Simba na Yanga, pia ni mdhamini wa muda mrefu wa mbio za kimataifa za Marathoni za Kilimanjaro na zile zinazoshirikisha wanariadha kutoka zaidi ya nchi 25 duniani.
Pia ni wadhamini wa Tuzo za Muziki za Kilimanjaro. Imekuwa pia ikidhamini michuano ya mpira wa kikapu ya mkoani Dar es Salaam `RBA Kili’.
Mbio hizo zilitarajiwa kuingia Marangu jana jioni, tayari kwa kuipandisha kileleni mwa Mlima Kilimanjaro, leo.



 
© Michuzi | Wednesday, November 04, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
wah. wanapoteta
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda akizungumza na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Shamsa Mwangunga kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo
Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Wawi, Hamad Rashid Mohamed (kushoto) akizungumza na Mbunge wa Donge Ali Ameir Mohamed kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo


 
© Michuzi | Wednesday, November 04, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
Evelyne Amasi ashinda tuzo ya Vazi bora la Taifa Miss Earth
Evelyne Amasi

Mshindi wa pili wa Miss Universe Tanzania Evelyne Amasi ambaye anashikilia taji la Miss Earth Tanzania 2009, ameshinda tuzo ya Miss National Costume. Mashindano ya Miss Earth ambayo yanafanyika tangu Novemba mosi mpaka 22 mwaka huu, huko nchini Philippines.

Evelyne Amasi (23), mrembo ambaye ameondoka nchini mwishoni mwa mwezi wa kumi kwenda kuiwakilisha Tanzania katika mashindano ya kumtafuta Miss Earth, ameshinda tuzo ya vazi la taifa (National costume) katika mashindano ambayo yalishirikisha zaidi ya warembo 80 kutoka nchi mbali mbali duniani kote.

Evelyne ambaye aliondoka nchini mwanzoni mwa mwezi huu( Oktoba 31), alifanikiwa kushinda tuzo ya Miss National Costume 2009 na kutwaa nishani na pesa taslimu ambayo atakuja kupewa siku ya fainali. Ushindi wa Mrembo huyu, ulikubaliwa na wengi kutokana na uzuri na uasili wa mavazi ya mrembo huyu.

Mavazi ya mwanadada huyu yalikuwa tofauti na mavazi ya warembo wengine kwani zilikuwa zimetengenezwa kwa kutumia kambakamba zilizotokana na magome ya miti ambazo zimesukwa kwa ustadi na kuwakilisha vyema matumizi halisi ya mazingira yetu.

Mbali ya vazi hilo ambalo lilionekana kama kichaka cha mti vilevile kulikuwa na nyoka aliyetengenezwa kwa ubunifu wa hali ya juu na juu kichwani kulikuwa na kilemba ambacho kimetumika kama kichaka cha ndege anachotagia mayai yake. Nguo hiyo ilibuniwa na mbunifu chipkizi Diana Magese toka mkoani Morogoro.

Katika kinyanganyiro hicho Evelyne ndio alikuwa mshindi wa kwanza kushinda tuzo hiyo akifuatiwa na mrembo toka Puerto Rico na Miss Guam.

Katika mashindano haya, washindi wanaofanikiwa kushinda tuzo ndogondogo ndio wenye nafasi kubwa ya kuingia nusu fainali yaani top Sixteen(16 bora)

Mwaka jana Tanzania iliwakilishwa na mrembo Miriam Odemba na kufanikiwa kuitangaza vyema nchi yetu kwa kuingia katika kumi na tano bora ya mavazi ya ufukweni na vazi la Taifa katika mashindano madogo na hatimaye kushika nafasi ya pili katika fainali na kutwaa taji la Miss Earth Air-2008, ambapo mshindi wa kwanza alitoka nchini Phillipines.

Fainali za mashindano ya Miss Earth mwaka huu yatafanyika tarehe 22 mwezi wa kumi na moja huko Boracay Island nchini Philippines.
 
© Michuzi | Wednesday, November 04, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 1
vekesheni buja

wadau kunradhi kutokana na kajikwikwi ka masaa kadhaa. nilikuwa njiani kuja hapa kwa mzee mzima nkurunnzinza kwa kajivekesheni ka muda. sasa nimeshatua libeneke kama kawa

 
© Michuzi | Wednesday, November 04, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 26
libeneke ka obama mtoto

Mkuu heshima yako,kwa heshima na

taadhima naomba uwajulishe wadau kuhusu hii.


Habari Wadau, Napenda kuwatambulisha kwenu Obama mtoto amekuja na blogu yake ambayo itakuwa ikiwahabarisha mambo yote huko ughaibuni.Na pia hata pia kwa habri zinazotokea kule nyumbani (Tanzania). inakwenda kwa jina
www.obamamtoto.blogspot.com
Natumai kupata ushirikiano tosha toka kila kona.Ntanguliza shukrani zangu za dhati kwa wadu wooote!
ahsante!
haji boston(Obama mtoto)
 
© Michuzi | Wednesday, November 04, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 22
Tuesday, November 3, 2009
breeekiiiiiiing newzzzz

Mwenyekiti mtendaji wa Clouds Media Group,Bw Alex Kusaga ambaye ni baba yake mzazi na Joseph Kusaga,amefariki leo jioni nchini Afrika ya Kusini ambako alipelekwa kwa ajili ya matibabu.

Kwa taarifa zaidi tutaendelea kuwajulisha kadiri ya zitakavyokuwa zinatujia.





MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALI PEMA PEPONI-AMIN
 
© Michuzi | Tuesday, November 03, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 24
Jk akutana na Mratibu wa Umoja wa Mataifa nchini, aagana na balozi wa algeria leo ikulu
JK akiagana na Mratibu wa Umoja wa Mataifa nchini Bwana Alberic Kacou muda mfupi baada ya kufanya naye mazungumzo ikulu jijini Dar leo.
Balozi wa Algeria nchini Tanzania anayemaliza muda wake Abdelmoun 'aam Ahriz akimwonesha JK majarida mbalimbali wakati balozi huyo alipokwenda ikulu kumuaga JK leo


 
© Michuzi | Tuesday, November 03, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 2
dk. edward Hosea amtembelea spika leo dodoma
Mkurugenzi Mkuu wa PCCB, Dr. Edward Hosea, amemtembelea Spika wa Jamhuri ya muungano Mh. Samuel Sitta Bungeni leo Dodoma. Pichani Spika akimkaribisha Hosea mara baada ya kuwasili ofisi za Bunge. Kulia ni Mheshimwia Nyalandu
Mh Sitta akiongozana na mgeni wake
Mh. Samwel Sitta na Dr. Hosea wakiwa katika mazungumzo ofisini kwa Spika leo


 
© Michuzi | Tuesday, November 03, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 12
TUTANI WAKUBWA!!!!
Hey mzee wa libeneke na naniliiii,
hivi karibuni nataka n'tiee maguu bongoland, sasa mimi nataka niwe mjasilia-hali-na mali,nataka nifungue kiota cha kuuza softwares za computers na zile za simu,yaani nitakuwa nafanya mwenyewe zile kazi za ku-install software, na kwa wale wanaoziitaji basi nitakuwa naziuza.
Ni latest software kama vile za OS(Operating System) ikiwa ni Window 7, XP (sp1,sp2,sp3),na zile za linux(gnome na kde-environment),Mac na zile software za ofisini na kwenye ma-bussiness,,hapa naunganisha na software za aina zote za ku-mix muziki na videoz,ku-design websites, photoshop (CS3 NA CS4),3dMax, AutoCad(from 2000 to 2010),.
Kwa ufupi kila aina ya software mtu anayoitaka ataipata toka kwenye hicho kiota!! Sasa nataka nijue upepo wa bongo kwenye biashara kama hizi upoje??inalipa au bado tupo enzi zile za 47?? Na vipi wale ''mafisadi'' hawawezi kunitia kwenye mkono wa sheria,manake mimi ni Pirate mkubwa sana Online,na hapa ninazo software zaidi ya milioni 1..
Bloo mithupu hebu tupia kapuni jina na adress please!!!
Haya waosha vinywa,msaada kidogo,
hasa kwa wale waliokuwa nyumbani(tz)
Mdau wa Google
 
© Michuzi | Tuesday, November 03, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 32
vodacom miss tz 2009 akabidhiwa ndinga lake
Meneja anaehusika na magari wa Vodacom Tanzania(kulia) akimuelezea Vodacom Miss Tanzania Miriam Gerald wa pili toka kulia namna ya kutumia funguo za gari lake,wanaoshudia ni Meneja udhamini wa Vodacom Emillian Rwejuna,Mkuu wa itifaki wa Miss Tanzania Albert Makoe.
Mkuu wa udhamini na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania George Rwehumbiza wa pili kutoka kushoto na Mkurugenzi wa Shivacom Parthiban Chadra wakimkabidhi Vodacom Miss Tanzania Miriam Gerald(kulia)anayeshuhudia kushoto ni Mkurugenzi wa Miss Tanzania Hasheem Lundenga. Chini akijiandaa kuingia ndani ya gari lake

Vodacom Miss Tanzania Miriam Gerald akiwapungia waandishi wa habari ndani ya gari lake alilokabidhiwa na Vodacom Tanzania na shivacom lenye thamani ya shilingi Milioni 53
ndinga la vodacom miss tz 2009





 
© Michuzi | Tuesday, November 03, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 19
dogo wa uswazi leo

 
© Michuzi | Tuesday, November 03, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
lumbesa



 
© Michuzi | Tuesday, November 03, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 3
chocolate princess atua na mali mpya toka italy
chocolate princess akipanga viatu vya
kinababa alivyotua navyo punde toka italy
chocolate princess akiwa kavalia viatu vipya
toka italy na mkoba akipanga viatu vya kinababa
mikoba orijino viatu vya nguvu
mikanda ya ngozi kweli
ushindwe wewe tu. viatu vyote ni vya ngozi kweli
Duka lipo Msasani kwenye jengo la Talk of Town maduka ya nyuma
Namba ya simu 0715 117788






 
© Michuzi | Tuesday, November 03, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 20
East African Art Biennale@Alliance Dar es salaam
Art Exhibition:
The 4th East African Art Biennale 2009
the best artworks recently produced
by 87 artists
coming from
19 different
Countries

Grand Opening: Monday 2 Nov. 7pm
Alliance Française Exhibition Hall, FREE!
Open from 3 to 22 Nov. - Mon to Sat, 10am-6pm

KARIBUNI !



 
© Michuzi | Tuesday, November 03, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 0
nondozzzzz TSN
ahmed maulid akipongezwa na mai hazbendi wake kilasa mtambalike ambaye sasa ni afisa habari vodacom baada ya kustaafu daily news

Waandishi waandamizi wa kampuni ya TSN ambao ni wachapishaji wa magazeti ya Dailynews na Habari Leo wakiwa na furaha wakati wa kukata keki yao ya pongezi baada ya kudaka nondozzzz zao katika mahafali ya 21 ya chuo kikuu huria Tanzania(OUT) wikiendi ilopita. Kutoka kushoto ni Maulid Ahmed, Stellah Nyemenohi na Jamilah Kilahama. Wengine ni ndugu zao waliofika kuwapongeza.

 
© Michuzi | Tuesday, November 03, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 10
sherehe ya kumuaga mwanajuiya Geofrey Kibogoyo Manchester
Geofrey Kibogoyo
Ndugu wanajumuiya ya Manchester mnakaribishwa katika party ya kumuaga mwanajuiya mwenzetu Geofrey Kibogoyo anayerudi nyumbani moja kwa moja kulijenga Taifa.
Sherehe itafanyika Novemba 7, 2009
saa moja jioni katika address hii
34 Falcon Court,
Old Trafford,
Manchester M15 5QD.
Chakula na kinywaji vitakuwepo kufika kwenu ndio kufanikisha shughuli ya kumuaga mwenzetu ambaye kwa muda aliokuwepo amejitolea kwa hali na mali kufanikisha shughuli za maendeleo ya jumuiya yetu,
karibuni sana
 
© Michuzi | Tuesday, November 03, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 13
libeneke la mohamed dewji
Mbunge wa Singida Mh. Mohamed Dewji akisakata ngoma na bendi ya Twanga Pepeta iliyokuwa inatumbuiza uwanja wa Namfua Singida karibuni. picha na habari zaidi nenda kwenye libeneke lake kama ilivyooneshwa hapo chini

Kaka Michuzi,
Ninakupongeza kwa kazi nzuri unayofanya ya kutupasha habari mbalimbali za kijamii. Ningependa kuwaomba wadau mtupe ushirikiano wa kutoa mawazo na pia kuitembelea blog yetu ya Mhe. Mohammed Dewji "Mo", ambapo tutakuwa tunapeana habari mbalimbali na pia kujadili masuala mbalimbali yanayohusu jamii yetu ya kitanzania.
Blog hii ni changa lakini ninaamini tutafika mbali kwa msaada na ushirikiano kutoka kwa wadau. Vile Vile Mo atatumia uwanja huu kujadiliana na wadau jinsi ya kuboresha na kuleta maendeleo ndani ya jamii

Tovuti yetu ni
www.mohammeddewji.com
na blog yetu ni
----------------------------------
Globu ya Jamii inampongeza Mh. Mohamed Dewji kwa uamuzi wa kuanzisha libeneke, ikiwa ni njia mojawapo ya kupasha na kupata habari kwa njia ya kisasa ambayo ni ya haraka na isiyongoja kesho. mambo ni papo kwa papo. Natumai Wah. wengine, ambao bila shaka wana kigugumizi endapo kama kuna haja ya kuanzisha libeneke ama la, wataiga mfano huu. Hongera Mo.
-Michuzi
 
© Michuzi | Tuesday, November 03, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 21
Monday, November 2, 2009
US Deputy Secretary of Treasury meets President Kikwete at Dar es Salaam State House announces $37.7million for Economic Stimulus to Tanzania



The United States Deputy Secretary of Treasury Neal Wolin announces during a press briefing that the US Government has authorised $37.7million for economic Stimulus to Tanzania during a meeting with President Jakaya Mrisho Kikwete(seated Centre) and the Minister for Finance Mustafa Mkulo at State House Dar es Salaam today.

Deputy Secretary of the US Department of the Treasury Neal Wolin Post Meeting with President Kikwete Remarks

I am pleased to be here in Tanzania and to meet with President Kikwete, Finance Minister Mkullo and other senior officials to discuss ways in which Tanzania and the United States can continue to partner in the areas of agricultural development, financing for key infrastructure, and financial access for the poor.

As I underscored to both the President and Minister, the United States is determined to be a partner that supports Tanzania. As part of that effort, we will look to shine a light on African success stories and bring them to the attention of the U.S. public and U.S. investors. Too often in the United States, we view African countries through a lens of poverty, conflict, and hunger. This prevents us from seeing the progress being made on economic development across this continent.

Yesterday, for example, I spent the afternoon near Bagamoyo at an International Institute for Tropical Agriculture (IITA) cassava research station. This “golden crop,” as one farmer called it, has not been fully utilized here in Tanzania to date. But in Bagamoyo, they have a clear vision for its potential - the potential to boost yields and incomes by empowering farmers with the knowledge, skills, equipment and markets for processed cassava products.

And earlier today, I visited the National Food Reserve Agency, where the World Food Program - working with a wide range of partners in government, international organizations and the private sector - is conducting an innovative purchase program buying directly from small farmers.

Focusing on productivity and small holder farmers are critical aspects of President Obama’s commitment to devote at least $3.5 billion to food security worldwide in the next three years. As part of our efforts to boost the productivity of small holder farmers, we will find ways to support country-led agricultural strategies and work closely with other development partners, including the World Bank and African Development Bank.

In addition to that commitment - and consistent with our partnership goals - I am pleased to announce today a $37.7 million grant under the United States’ “Financial Crisis Initiative.” We’re providing this critical assistance in the wake of the global financial crisis with the goals of: 1) helping Tanzania’s poorest citizens -- many of whom are facing food shortages -- meet their daily food needs; and 2) strengthening the capacity of the Tanzanian government to respond to future crises.

This assistance will provide financing for a number of World Food Program-implemented programs including a school feeding program that will benefit 400,000 children in Tanzania. It will also allow a U.S. Treasury resident advisor support Bank of Tanzania efforts to strengthen IT systems and improve public financial management. And, it will support credits to help Tanzania’s small and medium enterprise center.

Finally, improving the infrastructure base here in Tanzania is another critical priority essential in achieving higher levels of sustainable growth. I’m very pleased to hear that implementation of the MCC Compact is moving forward and that construction on many of the Compact’s elements are slated to begin next year.

By strengthening and deepening our partnership in these areas, I believe we have an opportunity to help Tanzania continue to prosper for the benefit of all of her people and beyond.
----------------------------
Msaada wa Fedha kukabiliana na Athari za Mgogoro wa Kiuchumi Duniani:

Tanzania yapokea Dola za Kimarekani milioni 37.7 kutoka Marekani kwa ajili ya Kuchochea Ukuaji wa Uchumi

Naibu Waziri wa Fedha wa Marekani atangaza Msaada huu katika Mkutano wake na Rais Kikwete uliofanyika Jumatatu


Toka kuanza kwa mgogoro wa kifedha wa kimataifa hali ya kiuchumi kwa mataifa mengi duniani imekuwa ngumu sana. Wakati ambapo mgogoro huu umeiathiri Marekani, bado watu wa Marekani wanaelewa kuwa athari zake kwa Tanzania ni kubwa zaidi.
Ili kupunguza makali ya athari hizo, Rais Obama na Bunge la Congress la Marekani limeidhinisha “Mpango wa Kukabiliana na Athari za Kuporomoka kwa Uchumi” (Financial Crisis Initiative) utakaogharimu kiasi cha Dola za Kimarekani milioni 37.7 utakaowanufaisha moja kwa moja watu masikini nchini Tanzania. Msaada huu ulitangazwa rasmi na Naibu Waziri wa Fedha wa Marekani Neal S. Wolin wakati wa mkutano wake na Rais Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam hivi leo.

Mpango wa Chakula Duniani (WFP) unashirikiana na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) katika kusimamia jitihada hizo. Ushirikiano huu unadhihirisha azma ya dhati ya Marekani ya kushirikiana na Umoja wa Mataifa na wafadhili wengine katika kusaidia jitihada za maendeleo za Tanzania.

"Marekani inafarijika sana kufanya kazi na nchi za Kiafrika zenye azma ya dhati ya kujiletea maendeleo kama Tanzania, kuzisaidia kuweza kuvuka kipindi hiki kigumu cha mgogoro wa fedha na kuanguka kwa uchumi wa dunia na hatimaye kuwa na ustawi katika miaka ijayo," alisema Naibu Waziri Wolin. "Tunatarajia kuimarika zaidi kwa ubia wetu na Tanzania katika maeneo na nyanja mbalimbali kutoka kuhamasisha maendeleo ya kilimo hadi kutoa misaada ya kitaalamu."

Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa wamekadiria kuwa athari za mgogoro wa kifedha dunia zitasababisha kupungua kwa kasi ya ukuaji wa uchumi wa Tanzania kwa zaidi ya asilimia 7 katika mwaka 2008 na kati ya asilimia 4 na 5 katika mwaka 2009.
Ikiwa tayari zaidi ya Watanzania 40,000 wamepoteza ajira zao, ni wazi kuwa watu masikini ndio wanaoathiriwa zaidi na kuporomoka huku kwa uchumi. Kwa sababu hiyo mpango huu wa kuchochea ukuaji wa uchumi unamlenga moja kwa moja mwananchi na kuunga mkono jitihada za hivi sasa za Tanzania za kuchochea ukuaji wa uchumi katika maeneo ya vijijini na kuongeza uzalishaji wa chakula.

Watoto ndio wanaoathiriwa zaidi na tatizo la upungufu wa chakula. Lishe bora mashuleni huwasaidia watoto kufanya vizuri zaidi katika masomo yao na kuzipunguzia mzigo familia zao kutokana na kupanda mno kwa bei za vyakula.
Msaada huu utaiwezesha WFP kutoa milo miwili kwa siku kwa mwaka mzima kwa watoto 400,000 walio katika shule za msingi zipatazo 600 katika maeneo yaliyokumbwa na ukame katika mikoa ya Arusha, Manyara, Dodoma na Singida. WFP itatoa pia chakula kwa wanafunzi katika maeneo yaliyoathiriwa na kuporomoka kwa bei ya mazao na bidhaa za biashara kama vile pamba, maua, kahawa na vito vya thamani.

Mpango huu utasaidia pia kupunguza athari za kupungua kwa fursa za ajira kwa kutoa fursa za ajira za muda kwa maelfu ya Watanzania kutoka katika kaya masikini zaidi.
Mpango huu wa kutoa ajira utalenga zaidi jamii za vijijini kwa kutoa ujira kwa wananchi watakaofanya kazi za kuboresha mifumo ya umwagiliaji na usambazaji wa maji safi, kupanda miti, kujenga maghala ya chakula na kukarabati barabara za vijijini.
Katika jamii za wafugaji, mpango huu utasaidia ujenzi wa mabwawa, kuandaa maeneo maalumu ya malisho ya mifugo ili kuinenepesha na kuimarisha upatikanaji wa masoko.

Maeneo ya Usimamizi wa Wanyamapori yaliyoathirika kutokana na kupungua kwa mapato yatokanayo na utalii yatafaidika kwa kuanzishwa kwa vikosi maalumu vya uhifadhi (Conservation Corp).
Wanavijiji wataajiriwa ili kujenga barabara, vituo vya askari wa wanyama pori, kuweka alama za mipaka, kutangaza na kusimamia miundombinu itakayowawezesha kuendesha miradi ya kijamii ya utalii yenye tija na iliyo endelevu.
Sekta ya uzalishaji maua na mbogamboga (horticulture) nchini Tanzania, ambayo imeajiri zaidi ya wafanyakazi 10,000 na kuingiza zaidi ya Dola za Kimarekani milioni 50 itasaidiwa kwa kupitia msaada utakaotolewa kwa Chama cha Wakulima wa Maua, Matunda na Mboga (TAHA) na wanachama wake ambao wengi wao ni wakulima wadogo wadogo wanawake.
Aidha, msaada utatolewa kwa wafanyabiashara wanaouza mazao hayo nje ya nchi wanaohitaji mikopo ili kufufua na kuendeleza biashara zao na hivyo kuokoa ajira ya Watanzania.

Sera nzuri za fedha na uchumi ni kipengele muhimu cha uimara wa uchumi kwa kipindi kirefu.Msaada wa kukabiliana na athari za kuanguka kwa uchumi unaotolewa na watu wa Marekani utaisaidia Serikali ya Tanzania kufuatilia athari za kuporomoka kwa uchumi na kujenga msingi imara kwa kuhimili misukosuko ya kiuchumi katika siku zijazo.
Kwa msaada kutoka Idara ya Misaada ya Kiufundi ya Wizara ya Fedha ya Marekani, Serikali ya Tanzania itaweza kuboresha mfumo wake wa upashanaji habari ili uwe na ufanisi na kuwezesha usimamizi wa fedha za umma wenye ufanisi na uwazi zaidi – hii ni pamoja na kuimarisha uwezo wa kufikisha kwa haraka zaidi rasilimali fedha katika maeneo yanayokabiliwa na upungufu wa chakula ambayo yametawanyika sana kijiografia.

Mbali na Mpango huu wa kubabiliana na athari za kuporomoka kwa uchumi duniani, USAID itashirikiana na mabenki ya hapa nchini katika kutoa mikopo yenye thamani ya hadi Dola za Kimarekani milioni 10 kwa ajili ya mitaji kwa shughuli za biashara inayohusisha kilimo na mazao ya kilimo, ikiwa ni pamoja na kusaidia zaidi ya wazalishaji na wajasiriamali wadogo na kaya 1000 kwa kupitia taratibu za mikopo zenye masharti nafuu (micro-finance) katika kipindi cha miaka mitano ili kukuza uzalishaji na kuongeza uhakika wa chakula.

Ili kukuza manufaa ya ubia huu kwa uchumi wa Tanzania, angalau makampuni 50 ya Kitanzania yatahusishwa katika ununuzi na usambazaji wa chakula, usafirishaji na ubunifu na usimamizi wa uboreshaji wa miundombinu ya vijijini.
Tanzania ni mojawapo kati ya nchi nane zitakazopatiwa zaidi ya Dola za Kimarekani milioni 255 chini ya mpango huu wa kukabiliana na athari za kuanguka kwa uchumi. Nchi nyingine za Kiafrika zitakazopatiwa msaada huu ni Ghana, Liberia na Zambia.
 
© Michuzi | Monday, November 02, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 11
mdau neshno
Balozi nanii, Mdau wa libeneke lako akiwa Nashino stadium na mwanae a.k.a Kansope kuangalia jinsi ambavyo mnyama anaumiza mtu,goli 1-0. Kweli ushindi ni mtaamu sana- siku hiyo ilikuwa ushindi mara mbili Gunner nao walipiga mtu kipigo cha mbwa mwizi.
Mdau wa Ipinda Lusungo Kyela.
 
© Michuzi | Monday, November 02, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 13
nondozzzzz chuo kikuu huria
Mkuu wa Chuo Kikuu Huria Mh. John Samwel Malecela akimpongeza mdau Zablon Azaria Mpolenkile baada ya kumpatia nondozzz yake ya BA in Business Administration kwenye mahafali ya chuo hicho Kibaha wikiendi hii
Mama Anna Kilango Malecele akila nondozzz yake ya Bachelor of Commerce kwenye mahafali hayo.


 
© Michuzi | Monday, November 02, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 7


Idadi ya watu
eXTReMe Tracker