Jumuiya ya watanzania ugiriki inasikitika kutangaza kifo cha mwenzetu ASHA KALLENGA (pichani) kilichotokea usiku wa kuamkia leo 10/06/2012 katika hospitali ya Evangelismos mjini Athens. Marehemu kabla ya kuwasili ugiriki alikuwa ni mkaazi wa Dar.
Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema peponi Amin.
INNA LILLAH WAINNA ILAIH RAAJIUUN
Kayu Ligopora
KATIBU WA JUMUIYA
INNA LILLAHI WAINA ILLAHIM RAJIUN, SURELY WE WILL ALL RETURN ONE DAY TO OUR LORD AND MAY ALLAH REST HER SOUL IN PEACE IN JANATU NAEEM AMIN
ReplyDeleteRoho ya marehemu ipunzike kwa amani. Amen
ReplyDelete"INNA LILLAHI WAINNA ILAYHI RAJI'UN"(Surely we belong to GOD and to HIM shall we return). May ALLAH grant her soul the best place in JAN'NATU-N'NAEEM - AMEN. Na muwe pole wafiwa na wanajumuiya wote wa Tanzania nchini Ugiriki. Mwenyeez Mungu wajaaliye na kuwapa moyo wa subira, stahmala na faraja, khususan katika kipindi hiki cha kuondokewa na mpenda wetu. Nasi sote tulio nyuma yake, MOLA wetu tujaaliye "Khusnil-Khatma" Ameen.
ReplyDeletemwenyenzi mungu akulaze mahala pema peponi Asha kalenga mwenyenzi mungu alikupenda na amekwita mja wako
ReplyDelete