Wadau wa Umoja wa wanataaluma waliosoma China (CAAT) wamkaribisha Balozi mpya wa China Bw Lu Youqing .Kutoka kulia ni Johnspeter Majura,George Oreku,Balozi Lu Youqing,Fredy Maiga na Burton Kihaka.Pamoja na ukaribisho huo vilevile wadau wameongelea ushirikiano wa kibiashara kati ya Tanzania na China hasa nyanja za kilimo ,Teknoloj ia na Uwekezaji kwenye viwanda.
Home
Unlabelled
Wadau wa China Alumni Association of Tanzania(CAAT) na Balozi Mpya wa China hapa nchini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...