Umaarufu wa daraja la kuvukia watu la Manzese jijini Dar es salaam uko katika hatihati ya kunywea kufuatia ujenzi wa daraja lingine unaoendelea maeneo ya Kimara, sambamba na ujenzi wa barabara ya mabasi yaendyo haraka.
Ujenzi wa daraja la Kimara ukiendelea kwa kasi na kutishia umaarufu wa daraja la Manzese
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...