Umaarufu wa daraja la kuvukia watu la Manzese jijini Dar es salaam uko katika hatihati ya kunywea kufuatia ujenzi wa daraja lingine unaoendelea maeneo ya Kimara, sambamba na ujenzi wa barabara ya mabasi yaendyo haraka.
 Ujenzi wa daraja la Kimara ukiendelea kwa kasi na kutishia umaarufu wa daraja la Manzese

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...